Hapana siwezi wakati yeye ndo ticha wangu wa haya mambo yaani mii nampa salout Intelligent businessman maana bila yeye kunipa swaga hata nisinge mpata mtoto mzuri 🤓
Mwambie aje abanane hapahapa na Hawa wangu wanne mshindi atatangazwa kanisani au msikitini 🤣🤣🤣🤣atabeba kombelake wengine watarudi na medali Kama Yanga 🤣🤣
Aaliyyah
usiwasikilize Poor Brain na mshamba_hachekwi
wanafiki wanafiki
Wazee wa kuwa pakazia
Yasio wahusu wanna ingilia
Maneno yao ni Kama ya Simba
Ukiya sikiliza, lazima yata kuingia😜