Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

unamuonea sana dogo, haya mshamba nimekuja kumtetea 😂
Sumu ni ile ile, haya chukua mademu hwaoiooo
FB_IMG_16858800656380279.jpg
 
"Kudambukaaa" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
coca mbavoooo zangooooo hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Nacheka hadi nataka kujikojolea hapa ujuee🤣🤭🤭🤭
😂😂😂
 
😂😂😂Mna mambo nyie mie bikra kabisa sijawahi nasema sijawahi 😀😀
Uuuuuuuuhhh...
😂😂😂😂😂😂 Amekula kiazi cha moto.. tuache mdomo ucheze sebene
 
Maisha mafupi mno kuwaza mambo ya mtu mwingine kiukweli tuishi tu mm mtu unawaza utapataje Hela kumbe kunamtu anakuwaza umenyanduliwa vingapi usiku ulopita mvurugano kabisa aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuishi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF mchezoooo shangaziii.
Mtu atataka had style ya kuzagamuliwa akupangieee, lol
 
Ahahahhahah be care lakini be care sanaaaa 😂😂😂😂😂😂
Mana nilijaribu kukutetea nikaishia kupata maneno mazito 😂😂😂😂😂
Mieee ukaribu na coca ndio wanataka kuniua kabisa !!

Nacheka kama mazuri vilee nyieeer 🙌🙌🙌
 
Mieee ukaribu na coca ndio wanataka kuniua kabisa !!

Nacheka kama mazuri vilee nyieeer 🙌🙌🙌
Naona kuna za chini chini hapo zina nitishia amani jamni😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
Nyiee mnaniuaa mbavuuu memeeee hukuu mjueeee!! [emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]!!
Walai mmenishinda tabiaaaa mnataka kuniua kwa kichekooo walahiiii[emoji23][emoji23][emoji23]!!

Mie nyani mzeee humuuu kuna vitu humu naangalia na kujichekea ka fwalaaa fulani tyyu nhiiiiiiiinhiiii[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi kumpangia mtu matumiz ya Mali yake[emoji23][emoji23] ni kupoteza muda labda km mtu hunakazi ya kufanya kibaya Zaid unaesema hata hajui km ulimsema huko anapata kovu wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeh
 
Back
Top Bottom