Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asssantreeeeeeeeeeereeeeeehhh

Ongeza sautiii pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
uduguuu hadi nimechekaaa eti coca wa kuogopeshwaa na watu walio kwa keyboard? Km wao wanayaweza na wana sababu za kuniparua kwann wasianzee hadi wasubiri niingie kwa 18 zao.

wameshindwa kudambukaa kimya kimya huko kwenye PM zao uchwaraa, wana amua kujitokezaa wazi wazi sasa. Mie nipoo na nina wasubiriii niwapeee kile wanachostahili.

Woiiiiiiiiiiih
 
wananitafuta wapiii?? Mtaani au hapaa kwa keyboard? Waambie waanze hata sahivi maana km wanasubiri niingie ktk 18 zao, km wamesimama bas watandike jamvi wakaee.

Sasa mie wa kuniogopeshaa hao watu? Vilikua vikundii na vilishindwaa, watu walipambana na mie na nkawashinda hadi kuomba niondolewee JF, POLL iliwekwaa nkaondolewa kwa muda na nkarudishwaaa,

Kwa JF hii badoo sanaa wa kunitafuta etii niingie kwenye 18 zakee? Naweza kuingia na hakuna kitu atafanyaaa.

Wapeee salamuu, Coca bado yupooo sanaaaaaa.
Ahahahhahah be care lakini be care sanaaaa 😂😂😂😂😂😂
Mana nilijaribu kukutetea nikaishia kupata maneno mazito 😂😂😂😂😂
 
uduguuu hadi nimechekaaa eti coca wa kuogopeshwaa na watu walio kwa keyboard? Km wao wanayaweza na wana sababu za kuniparua kwann wasianzee hadi wasubiri niingie kwa 18 zao.

wameshindwa kudambukaa kimya kimya huko kwenye PM zao uchwaraa, wana amua kujitokezaa wazi wazi sasa. Mie nipoo na nina wasubiriii niwapeee kile wanachostahili.

Woiiiiiiiiiiih
"Kudambukaaa" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
coca mbavoooo zangooooo hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Nacheka hadi nataka kujikojolea hapa ujuee🤣🤭🤭🤭
 
uduguuu hadi nimechekaaa eti coca wa kuogopeshwaa na watu walio kwa keyboard? Km wao wanayaweza na wana sababu za kuniparua kwann wasianzee hadi wasubiri niingie kwa 18 zao.

wameshindwa kudambukaa kimya kimya huko kwenye PM zao uchwaraa, wana amua kujitokezaa wazi wazi sasa. Mie nipoo na nina wasubiriii niwapeee kile wanachostahili.

Woiiiiiiiiiiih
Hamna chuki mpendwa🙏🙏, Jamaa ana fanya utani tu🙏🙏🙏
 
Alokupa ilo jina la majaribibi akome🤣
Mpwaaaaa!🔥🔥🔥😘😘😘

Dokta mwambie namsalimia japo ananikwepa siku hizi 😁😁

Akizubaa jimbo twajitwalia!

Screenshot_20230605_112755_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom