mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
google wameanza kupambana na adblockers😂 ceo mpya wa youtube anabadilisha mamaboNice mkuu, pia kuna youtube isiyo na matangazo, sema device inabidi iwe rooted..
google wameanza kupambana na adblockers😂 ceo mpya wa youtube anabadilisha mamaboNice mkuu, pia kuna youtube isiyo na matangazo, sema device inabidi iwe rooted..
Mchezo wa paka na panya, google 90% ya mapato yao ni matangazo, lazima wawe very strictly.google wameanza kupambana na adblockers😂 ceo mpya wa youtube anabadilisha mamabo
Hilo dude ni Moto, ukipata earphones Kali au sabufa yenye mkito hip album ni zaidi ya 🔥 🔥🔥 mshamba_hachekwiView attachment 2646431
Ngoma kali... Sana, Ndio hii album alikuwa anazungumza anasema hajashirikisha msanii yeyote nje.
Watruuuu Weeeuuuuwweeehh 🕺🕺🕺🕺🕺Hayaaaaa oneniii wenyeweeee naambiwa hadharani km hivi kuwa napendwaaaaaaa!!!
Sasa hizo stress na makasiriko niyatoe wapi? Kwa lipio? Watu na nyota zetuu mjiniiii kuwa single nitakee mwenyewee,
Nakupenda piaaa babeee
Antonnia uduguu ukujee hapaa harusii tunayoo andaa kamati tyuuh.
Watu na mababez zao😂😂😂, I mean no malice to nobodyHayaaaaa oneniii wenyeweeee naambiwa hadharani km hivi kuwa napendwaaaaaaa!!!
Sasa hizo stress na makasiriko niyatoe wapi? Kwa lipio? Watu na nyota zetuu mjiniiii kuwa single nitakee mwenyewee,
Nakupenda piaaa babeee
Antonnia uduguu ukujee hapaa harusii tunayoo andaa kamati tyuuh.
madam Santo Sana, I missed yahWatruuuu Weeeuuuuwweeehh 🕺🕺🕺🕺🕺
Watruu na nyoitraaa zeinyuuuuuu,💃
Kamati iko kamelee gadoooo udugu
akeeeee weweee treinaaahhhh 💕💕💕💕💕
Sasaa je... wenye nyota ya bundi tutulize mishono tyuuuu in cocas voice🤭!Watu na mababez zao😂😂😂, I mean no malice to nobody
vitu kama hivyo unatakiw uwe na anti karibu😀 siku moja moja lakini
Una nisema ehh🤔🤔😑🤨 AntonniaSasaa je... wenye nyota ya bundi tutulize mishono tyuuuu in cocas voice🤭!
Nipo single sihitaji mtu now hela yangu nakula mwenyewevitu kama hivyo unatakiw uwe na anti karibu😀 siku moja moja lakini
Una utaalamu wa kupika samaki wa kupaka?
Ila iam single😜😂Nikuseme wapii kichaa akee mi mwenyewe nimechachaajee kama sio kudoda lol !
Weee tafuta kigoriiii mle maisha kichaa akee!Ila iam single😜😂
haha 😀 tafuta demu na hiki kimvuaNipo single sihitaji mtu now hela yangu nakula mwenyewe
Ndio
Maybe 2025, my goals are important 🤗Weee tafuta kigoriiii mle maisha kichaa akee!
Usisahau your goals shangazi enu nimekukumbusha tyuu 😁
Veri gudooo!! Keep it apooohi!! ☺️Maybe 2025, my goals are important 🤗
Dogo uliona wapi kitambi?Sasa kitambi kimeisha