Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,315
drama.... hata hivyo hua siangalii sana series napendelea animeKwa genre ipi, maana hata Asia wanna vitu vyao hatarii🤗
Hebu nipe track moja kali hapo unayoikubali, nipe jina.Album ya OBO, una ionaje mkuuView attachment 2646401
Spotify ni bure sema yale matangazo ya sauti baada ya muda flani, napenda algorithm yao jinsi playlist inavyocheza, piracy unafanyaje mkuu?mimi nafanya piracy tu sitoi hela😁
natumia mod ya youtube inayoniwezesha kudownload miziki permanentlySpotify ni bure sema yale matangazo ya sauti baada ya muda flani, napenda algorithm yao jinsi playlist inavyocheza, piracy unafanyaje mkuu?
FeelHebu nipe track moja kali hapo unayoikubali, nipe jina.
Feel
Un available
No competition
Away
Over dem
Kante
Nice mkuu, pia kuna youtube isiyo na matangazo, sema device inabidi iwe rooted..natumia mod ya youtube inayoniwezesha kudownload miziki permanently
google wameanza kupambana na adblockers😂 ceo mpya wa youtube anabadilisha mamaboNice mkuu, pia kuna youtube isiyo na matangazo, sema device inabidi iwe rooted..
Mchezo wa paka na panya, google 90% ya mapato yao ni matangazo, lazima wawe very strictly.google wameanza kupambana na adblockers😂 ceo mpya wa youtube anabadilisha mamabo
Hilo dude ni Moto, ukipata earphones Kali au sabufa yenye mkito hip album ni zaidi ya 🔥 🔥🔥 mshamba_hachekwiView attachment 2646431
Ngoma kali... Sana, Ndio hii album alikuwa anazungumza anasema hajashirikisha msanii yeyote nje.
Watruuuu Weeeuuuuwweeehh 🕺🕺🕺🕺🕺Hayaaaaa oneniii wenyeweeee naambiwa hadharani km hivi kuwa napendwaaaaaaa!!!
Sasa hizo stress na makasiriko niyatoe wapi? Kwa lipio? Watu na nyota zetuu mjiniiii kuwa single nitakee mwenyewee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakupenda piaaa babeee [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Antonnia uduguu ukujee hapaa harusii tunayoo andaa kamati tyuuh.
Watu na mababez zao😂😂😂, I mean no malice to nobodyHayaaaaa oneniii wenyeweeee naambiwa hadharani km hivi kuwa napendwaaaaaaa!!!
Sasa hizo stress na makasiriko niyatoe wapi? Kwa lipio? Watu na nyota zetuu mjiniiii kuwa single nitakee mwenyewee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakupenda piaaa babeee [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Antonnia uduguu ukujee hapaa harusii tunayoo andaa kamati tyuuh.
madam Santo Sana, I missed yahWatruuuu Weeeuuuuwweeehh 🕺🕺🕺🕺🕺
Watruu na nyoitraaa zeinyuuuuuu,💃
Kamati iko kamelee gadoooo udugu
akeeeee weweee treinaaahhhh 💕💕💕💕💕
Sasaa je... wenye nyota ya bundi tutulize mishono tyuuuu in cocas voice🤭!Watu na mababez zao😂😂😂, I mean no malice to nobody
vitu kama hivyo unatakiw uwe na anti karibu😀 siku moja moja lakini
Una nisema ehh🤔🤔😑🤨 AntonniaSasaa je... wenye nyota ya bundi tutulize mishono tyuuuu in cocas voice🤭!