Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
Diara what a save 💪
Mie mshabiki wa Simba lakini waarabu walichowafanyia Yanga sijapenda.Mashabiki wa Simba piga keleleeee!
upu zenuuuu washeziiiMashabiki wa Simba piga keleleeee!
Ulitaka Yanga wabebe kombe?Mie mshabiki wa Simba lakini waarabu walichowafanyia Yanga sijapenda.
Lefa msengw sana kauza mechi watu wanasha madudy yao ya moshi anastopisha mpira na aongezi dakika za kupotezaMie mshabiki wa Simba lakini waarabu walichowafanyia Yanga sijapenda.
Tulia bwana mdogo Waarabu hamuwawezi kwa figisu nyie UtopoloMb
upu zenuuuu washeziii
Zimeongezwa mbona mzeeLefa msengw sana kauza mechi watu wanasha madudy yao ya moshi anastopisha mpira na aongezi dakika za kupoteza
itakublock embu acha nilale wew pimbiTulia bwana mdogo Waarabu hamuwawezi kwa figisu nyie Utopolo
Alitakiwa aongeze kila kipind tatu tatu ukitoa dakika alizo ongeza za kawaidaalitakiwa afidie za kusimamisha mchezoZimeongezwa mbona mzee
Hahaa pole sana kijana kapumzike sasa 😅N
itakublock embu acha nilale wew pimbi
Sasa kwani angeongeza ndio mngewafunga?Alitakiwa aongeze kila kipind tatu tatu ukitoa dakika alizo ongeza za kawaidaalitakiwa afidie za kusimamisha mchezo
Wewe sio bure waarabu wamekuoaSasa kwani angeongeza ndio mngewafunga?
Niache nilale kwazaMashindano ya Africa si lelemama! Ukiachia ubora kiwanjani Kuna issues nyingine zinazochagiza ili uweze kufanikiwa!
Daadeki Waarabu wamejua kuwanyoosha vyura wa Jangwani nyieWewe sio bure waarabu wamekuoa
Ndio mkuu, wanawakilisha Tanzania, we unashabikia arabs?Ulitaka Yanga wabebe kombe?