Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,679
- 208,843
Weeee emu nitumie, me sina hata mojaZa kwako
Za Depal niko nazo kumi kidogo
Weeee emu nitumie, me sina hata mojaZa kwako
Za Depal niko nazo kumi kidogo
Mimi lazima niseme ili tuende sawa jamani!Muwe mnavumilia ili muone mengi, mimi huona mengi lakini kimyaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeee emu nitumie, me sina hata moja
Nimemiss uchebeChat nyingi kuliko picha
Tonight naomba ukuje nikupe ukwaju mwingineView attachment 1273423leo mezibahatisha huku namtumbo
Asante napokea mkuu [emoji3]Heshima kwako hon
Mkuu mimi humu kitambo sana mbona sema huu uzi nachunguliaga mara moja mojaNamuona mgeni anvyojimwambafy taratibu
Sakayo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unikome nimecheka sanaInabidi nikufundishe pozi la kusimama jamaniii!!!
Tho kakitambi ka kufutia simu [emoji39]
Niko mbali huku sijaziona, nitaagiza wadogo zangu waje nazo wakija kunitembelea likizo.Mbona zimejaa mkuu
Bora mpendwa umewakumbusha.Chat nyingi kuliko picha