cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Hebu fanyaa chapuuu bruuh, Wakunyumba wotee juu.South kwetu patageuka kama mbele hivi karibuni nalifanyia kazi hilo bestie![]()
Hebu fanyaa chapuuu bruuh, Wakunyumba wotee juu.South kwetu patageuka kama mbele hivi karibuni nalifanyia kazi hilo bestie![]()
Amen my ex...kweli wewe wife material😊🙏Imeharibu pombe tu hapo
Sema nitaendelea na yale maombi,mwaka huu hautaisha bila kuacha pombe
Sema "Amen"
Bora kila mtu sahani yake, si unawajua watoto wa arachuga😅Kwamba utatoka hapo ukatafute chakuongezea????🤣🤣🤣
Basi hamtokula sahani moja!!!
💚💛Huyu atapata jezi mpya ya next season💛💚
Utaangalia?💚💛
Ngoja tusuburie final!🤞🏾🤞🏾
Au ule kabisa ndio uje....?😀😀Bora kila mtu sahani yake, si unawajua watoto wa arachuga😅
Nile kabisa ndio nije kula au sijaelewa?🤣Au ule kabisa ndio uje....?😀😀
Wa Arachuga ni ustaarabu tu tumezidishiwa!!🫣😶🌫️😁
Uhuhu itakaa poa sanangoja nikuuzie na ID kabisaa.
Ofcourse!!!Won't you?Utaangalia?
Sitaki unisifieAmen my ex...kweli wewe wife material![]()

Aisee kumbe unajua football unaweza kuchambua kabisa👏👏👏Ofcourse!!!Won't you?
Ila ya juzi niliboreka sana waarabu walivyokua wanajivuta uwanjani na ndugu zetu walivyokua hawaji-position vizuri!!😬😬😵
Ukiweza kuomba nikaacha pombe aisee hiyo dini yako itakua yangu!😊🙏
Ahaaa nilidhan nikija huko nisile kabisa kumbe nitakula kidogo😊
Uchambuzi uchwara!😆😆😆😆Aisee kumbe unajua football unaweza kuchambua kabisa👏👏👏
Sifa ziendane na juhudi ya kuachaUkiweza kuomba nikaacha pombe aisee hiyo dini yako itakua yangu!![]()
Hamna umeweza umeelezea vizuri kabisaUchambuzi uchwara!😆😆😆😆
Thay was too obvious.😵
Wewe niombee mimi siwezi kufanya juhudi yoyote🥺