Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
free basic sijui 🤣Tuna access vp JF?
free basic sijui 🤣Tuna access vp JF?
Ungeifadhi tuPicha haikua na ushahidi wa kutosha, ndio shida hyo
Njoo bobo au nicallMwachiluwi huko mjini 12 plain sh ngapi? nataka nimshikishe mmasai mmoja huku
Yes😀Mi hiyo bathroom tu!!!!😊
Kuna 🛁 ??
Umeanza biashara ya simu?Njoo bobo au nicall
Ndio mkuu 😂😂Umeanza biashara ya simu?
maboga hayana soko au vipi?? 😂Ndio mkuu 😂😂
Kuna mtu atalia sio muda mrefu😅Ndio mkuu 😂😂
😂😂 unabeepNjoo bobo au nicall
Nakuonea huruma shem darling😅😂😂 unabeep
Maisha ndio hayahayaView attachment 2644054
nimefika nkamu nioge nikazurule nasikia leo kuna Ally B ngoja nikakeshe huko![]()
Sina salio 😂😂😂 nisemehe mimi 😂😂😂 unabeep
Ahahah amekutana na shida 😂😂Nakuonea huruma shem darling😅
Nimekupigia face app inagoma😂😂 unabeep
Mimi sipo ivyo ata kidogoKuna mtu atalia sio muda mrefu😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Fanya tuonane nikuchukulie 5 star mahala flani nalipia portion ya bafu tuu ,🙃🙃
Huwa ni kujilipua.. nishawai itwa kazi yenye uzoefu wa miaka mitano na nilikuwa sijamaliza Final exam![]()




ngoja nijaribuu bahati ankoliii. Huenda nikadondokewa na zali la mentali.