Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Tumpe marks ngapi?Kijana unajua kuchambua😅
Tumpe marks ngapi?Kijana unajua kuchambua😅
Enewei😂, thank you so much😍pokea compliment zangu bana😂
Yan upo town bado unakula maboga?au ulibeba toka Mbeya?😅Uje ule maboga sasa
Dogo mshamba_hachekwi licha ya unoko wako, ila nimeamua kukuShauri usiende huko 😂😆😂 kwa kina Lenie maana watu wa huko Hawa aminiki😂😂.We sema unakuja lini niandae ratiba ya kukuzungusha uenjoy huu mji🥰
NilibebaYan upo town bado unakula maboga?au ulibeba toka Mbeya?😅
Nikimpa marks huyu atafeli😊Tumpe marks ngapi?
Wanna anzaga hivyo hivyo😂😂, Afu mshamba_hachekwi haiombwagi hivyoo😂😂😂. Dah nishakua muhuni aisee🙄😂😂Enewei😂, thank you so much😍
Lenie ni shangazi yangu nampenda sana 😂Dogo mshamba_hachekwi licha ya unoko wako, ila nimeamua kukuShauri usiende huko 😂😆😂 kwa kina Lenie maana watu wa huko Hawa aminiki😂😂.
👉Usije lala stendi, Kisha wajuba wakapita na hako ka tachi kako 😂😂
Ndio mana daah😅Nilibeba
We dogo kchoyo Sana🙄🙄, umeshindia kunitumia boga nanjilinjii 😁😁Nilibeba
Ninong’oneze😂Nikimpa marks huyu atafeli😊
Yaani nimeangaika nayo kwenye bas mpaka waka wananiona mshamba kisa mizigo nimebeba maboga nikabeba mamungunya emboo njoo ubebe na karangaSi uniletee jamani
😂😂😂Wanna anzaga hivyo hivyo😂😂, Afu mshamba_hachekwi haiombwagi hivyoo😂😂😂. Dah nishakua muhuni aisee🙄😂😂
Ahahahhah sio mchoyo ila ww ndio umenitenga sikuizWe dogo kchoyo Sana🙄🙄, umeshindia kunitumia boga nanjilinjii 😁😁
Doooh 🤣🤣Dogo mshamba_hachekwi licha ya unoko wako, ila nimeamua kukuShauri usiende huko 😂😆😂 kwa kina Lenie maana watu wa huko Hawa aminiki😂😂.
👉Usije lala stendi, Kisha wajuba wakapita na hako ka tachi kako 😂😂
umemaanisha mkuu.... mi mapenzi situmiagi😂Wanna anzaga hivyo hivyo😂😂, Afu mshamba_hachekwi haiombwagi hivyoo😂😂😂. Dah nishakua muhuni aisee🙄😂😂
Ahahha nimekula mchana hap morng naamalizia moja lilobakiNdio mana daah😅