Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa hiyo mzee baba haukuwahi kula zile totoz kabisa? πŸ€” Na zinajilengesha zenyewe
 
Jomoneeee nipooo dear vipi wee??

Niligombana na G Mda, ndo nimetoka kuongea nae sasa hivi kaniomba msamaha na kunibembelezaa, nlitamani asikate cm aendelee kunibembelezaa


Nipo kipenzi , mambo yanaenda

hahahha pole kugombana kawaida kwenye penzi mnazidi kupendana aisee .

nenda ukadeke kwake sasa , huba limetaradi ..
 
ntaenda kesho mchanaa dear.
Mie na G hatuachaniiii
Aiseee pendaneni hivyo
love is a beautiful thing , sijui alikuwa wapi sikuzote kaja kusema mwaka wa mwisho .

sijawahi kuwa na mahusiano shuleni/chuo but nahisi raha kuwa na mtu ukiingia darasani unqmuona baby yule unasmile huyo unaenda kuketi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…