Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,361 rabbitus said: Lenie Halafu wanakuja kujaza mafuta bure hapo kwako π Tinsley Click to expand... Na service hapo hapo πππ
rabbitus said: Lenie Halafu wanakuja kujaza mafuta bure hapo kwako π Tinsley Click to expand... Na service hapo hapo πππ
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 30, 2023 #336,362 Tinsley said: Na service hapo hapo πππ Click to expand... Lenie hashindwi na hivyo vitu vidogo, mtoto wa kishua kabisa huyo. Tinsley
Tinsley said: Na service hapo hapo πππ Click to expand... Lenie hashindwi na hivyo vitu vidogo, mtoto wa kishua kabisa huyo. Tinsley
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,363 rabbitus said: Lenie hashindwi na hivyo vitu vidogo, mtoto wa kishua kabisa huyo. Tinsley Click to expand... Sound system hapo hapo ππ Air freshener ya Ikeda πππ
rabbitus said: Lenie hashindwi na hivyo vitu vidogo, mtoto wa kishua kabisa huyo. Tinsley Click to expand... Sound system hapo hapo ππ Air freshener ya Ikeda πππ
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 May 30, 2023 #336,364 Tinsley said: yeah ndo shida hapo aisee Bajaji zinatusave ,mambo ya kutoa 20K hapana Click to expand... ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Tinsley said: yeah ndo shida hapo aisee Bajaji zinatusave ,mambo ya kutoa 20K hapana Click to expand... ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 May 30, 2023 #336,365 Lenie said: Asante sanaππ Nunueni tu magari aisee Click to expand... Nyau we π€£π€£π€£
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 May 30, 2023 #336,366 rabbitus said: Tinsley kwani ile gari yako haijafika bandarini? . Haya ya indrive sijui outdrive mwachie chugastan girl Depal anaedai mpaka chenji ya 100π Click to expand... Dah ππππ
rabbitus said: Tinsley kwani ile gari yako haijafika bandarini? . Haya ya indrive sijui outdrive mwachie chugastan girl Depal anaedai mpaka chenji ya 100π Click to expand... Dah ππππ
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 30, 2023 #336,367 Depal said: ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana Click to expand... Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure π
Depal said: ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana Click to expand... Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure π
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,368 Depal said: ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana Click to expand... Ni gharama huku inategemea na distance pia . haha ukikutana na foleni mnalo inategemea na mnapoenda pia kama ni distance fupi utakutana kwanzia 10 to 15 .
Depal said: ππ inategemea unaenda wapi Kwani huko indrive za elf 5/7/8/9/10/15 hamna? Tena 15 huku ni kama naenda mbali sana Click to expand... Ni gharama huku inategemea na distance pia . haha ukikutana na foleni mnalo inategemea na mnapoenda pia kama ni distance fupi utakutana kwanzia 10 to 15 .
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 May 30, 2023 #336,369 Lenie said: Hahaa unarudi lini kwani Click to expand... Sijajua udugu
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 May 30, 2023 #336,370 Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa Attachments 1CE18533-5788-44E1-9EA1-7FDD05195EDA.jpeg 1.2 MB · Views: 8
Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 30, 2023 #336,371 Mwachiluwi said: Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa Click to expand... Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi
Mwachiluwi said: Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa Click to expand... Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,372 rabbitus said: Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure π Click to expand... kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo . tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh . aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
rabbitus said: Panda bajaji wewe, hutaki kiyoyozi cha bure π Click to expand... kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo . tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh . aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 30, 2023 #336,373 Tinsley said: kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo . tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh . aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka . Click to expand... Poleni sana, ππ eti tukamsema huku tunashuka. Mgemgombania tu kama mpira wa kona
Tinsley said: kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo . tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh . aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka . Click to expand... Poleni sana, ππ eti tukamsema huku tunashuka. Mgemgombania tu kama mpira wa kona
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,374 rabbitus said: Poleni sana, ππ eti tukamsema huku tunashuka. Mgemgombania tu kama mpira wa kona Click to expand... heheh aturudishe buguruni tena na ni bajaji πππ . Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
rabbitus said: Poleni sana, ππ eti tukamsema huku tunashuka. Mgemgombania tu kama mpira wa kona Click to expand... heheh aturudishe buguruni tena na ni bajaji πππ . Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 May 30, 2023 #336,375 Tinsley said: heheh aturudishe buguruni tena na ni bajaji πππ . Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni .. Click to expand... Poleni.
Tinsley said: heheh aturudishe buguruni tena na ni bajaji πππ . Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni .. Click to expand... Poleni.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 30, 2023 #336,376 rabbitus said: Poleni. Click to expand... Asante Kaka
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 May 30, 2023 #336,377 rabbitus said: Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi Click to expand... Acha kabisa ase wananikomoa sana ππ af wanakwambia sisi atutupi chakula
rabbitus said: Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi Click to expand... Acha kabisa ase wananikomoa sana ππ af wanakwambia sisi atutupi chakula
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 May 30, 2023 #336,378 Mwachiluwi said: Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa Click to expand... Udugu wajomba wanataka upate kitambi?
Mwachiluwi said: Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa Click to expand... Udugu wajomba wanataka upate kitambi?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 May 30, 2023 #336,379 rabbitus said: Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi Click to expand... Na chips yaiπ€£π€£π€£
rabbitus said: Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. ππ Mwachiluwi Click to expand... Na chips yaiπ€£π€£π€£
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,272 May 30, 2023 #336,380 Lenie said: Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji Click to expand... Kwendraaaaa
Lenie said: Watu wa Jf wote tuna magari, mjitahidi we na Depal mnunue jamani muondokane na kero za boda boda na bajaji Click to expand... Kwendraaaaa