Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .
tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .
aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
heheh aturudishe buguruni tenaPoleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
Poleni.heheh aturudishe buguruni tena
na ni bajaji 😂😂😂 .
Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
Asante KakaPoleni.
Acha kabisa ase wananikomoa sana 😂😂 af wanakwambia sisi atutupi chakulaMzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. 😂😂 Mwachiluwi
Na chips yai🤣🤣🤣Mzee wa soseji na fanta huko watakumaliza. 😂😂 Mwachiluwi
Acha kabisa af et anakwambia sis atutupi chakula mjomba kulaUdugu wajomba wanataka upate kitambi?
Acha kabisa ase wananikomoa sana 😂😂 af wanakwambia sisi atutupi chakula
Ukujee kuna udambu udambu wa kushatoooo[emoji39][emoji39][emoji39] ninavyopenda udambwi dambwi sasa naja
sio kidogo 😂alikua analia Sana
Ww umeona miguu tu embu niacheUdugu huo ni mguu wako?
Uku ugali mda woteKuna kipindi nilimtembelea mstafu flani kule kyela - ipinda. Ulikuwa msimu wa mavuni, asubuhi wanapika sufuria kwa la wali na maharage, hapo ni breakfast, lunch, dinner. Wali wa mawese, maharage mawese halafu bila chunvi dadeki😂
Shoo ikapigwa siku tatu mfululizo, ikabidi niombe ugali😅.
Kula uongeze mwili!Udugu Depal Lenie Mjep Jack Palladino Gily uku si kunikomoa hawa wajaomba zangu wananichukulia mimi mlafi ugali na njiwa
Ninenep kama wewe sio sitakKula uongeze mwili!
usiposhindilia ugali hii baridi ya mbeya itakuua😂 na ulivokondeana 7°C itakunyooshaNipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Acha kabisa mzeusiposhindilia ugali hii baridi ya mbeya itakuua😂 na ulivokondeana 7°C itakunyoosha
Ninenep kama wewe sio sitak