Selfika na JF: Snap it. Show it

kuna bajaji wanakera aisee kasema mwisho Ubungo tukapanda , tukamwambia tunashuka njia panda ya Chuo .

tumefika mataa ya Ubungo kaomba nauli tukampa , si akatushusha hapo kwenye mataa duh .

aisee alituweza ,tukamsema huku tukishuka .
Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
 
Poleni sana, 😂😂 eti tukamsema huku tunashuka.
Mgemgombania tu kama mpira wa kona
heheh aturudishe buguruni tena
na ni bajaji 😂😂😂 .

Yaani kati ndo katushusha pale huku anakunja kona kurudi buguruni ..
 
Reactions: 511
Uku ugali mda wote
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…