Selfika na JF: Snap it. Show it

We're ideologically promiscuous, and loose canon!...
To put it in more simple terms, Tanzania is ramshackle kleptocracy.......
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

You've made my day with that flawless explanation of our political ideologyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚....buuuuut, I wanted to know yours!
 
Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah πŸ˜‚ Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
 

Attachments

  • C31C751E-03C1-4422-A54C-2F45224B3509.jpeg
    1.2 MB · Views: 8
  • 85CC3CC0-AF08-4707-861C-4DB84D8EB93F.jpeg
    1.3 MB · Views: 8
Acha tu

Wa kina khumbu ni shida
Kuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu πŸ™Œ

Tulikuwa na Wazungu pia mule ndani, walimtolea udenda sana yule Msouth, na mwenyewe akawa anajiachia mara aende kule mara pale ili mradi Watu wakose utulivu.

Nikawaza na tukio lako la kupotelea Kwa Madiba nikahisi umeshatekwa tayari πŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah πŸ˜‚ Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Umekwenda kununua Ufuta nini huko?
Mwenyewe nilikuwa huko mwezi uliopita

Shuka na pale Mjele ukiweza, wanachoma mbuzi watamu sana pale
 
ndio nawajua
ukikaa Morogoro lazima uwale nguruka ..

bwawa lile linasaambaza tu maji moro mjini .

maisha ya Morogoro safi sana , vyakula vingi mno .
Kuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbari

Kuhusu vyakula, Morogoro wapo vizuri. Kuna hadi Magimbi kule, so delicious
 
Hawa viumbe

Wana mijishepu

Hatari na nusu

Mzee wa kupambania huku kunamfaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…