View attachment 2638179
Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata π€ͺπ
Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.
Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi π
Amepotea song by Mbosso Khan
Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli π€ͺ
Hello Sunday π₯