Selfika na JF: Snap it. Show it


Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata πŸ€ͺπŸ™Œ

Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.

Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi πŸ™Œ

Amepotea song by Mbosso Khan

Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli πŸ€ͺ

Hello Sunday πŸ₯‚
 
Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubayaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!

Mpige rafu kama zoutreeee!πŸ’ͺ🀸
 
Maisha ndio hayahayaaa babuu akeee Enjoyyyyyyyy!!

Usisahau mchezeshe rafu kama zoutreeee!πŸ’ͺπŸ’ƒπŸ•Ί
Babu yenu sina jipya, hapa navuta zangu kiko tu πŸ€ͺ

Hujambo lakini Mjukuu, Bibi yako anakusalimia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…