Selfika na JF: Snap it. Show it

bamia,nyanya chungu aisee hivi vitu ni kazi sana kwangu kula hasa bamia.
hongera sana kama unaviweza ni muhimu sana mwilini mimi inafika wakati nasaga bamia glasi naligida mara mbili kwa wiki kama dawa
Kunywa tena??😳😳😳
 

Haya mambo ya kupotea kisa mapenzi sio ya Mhe. Rwakatale pekee aliyepotelea kwa Ashura wa Tabata πŸ€ͺπŸ™Œ

Nakumbuka miaka ya 77, 78 tukiwa tunajiandaa kwenda kumfurusha Iddi Amin pale Uganda, tukiwa Kambini pale Tabora si kuna mwenzetu alipotea kwa kutekwa na binti wa Kinyamwezi.

Baada ya kumtafuta kwa siku 22 ndiyo kuja kumkuta kwa yule binti wa Kinyamwezi akiwa wamemlowekea Uniform zake za kazi πŸ™Œ

Amepotea song by Mbosso Khan

Hii nyimbo imefanya nikumbuke mbali sana kwa kweli πŸ€ͺ

Hello Sunday πŸ₯‚
 
Si useme tu umefungiwa kwani Kuna ubayaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…