Mshahara upi bwana
Uskute hata anakopwa😂😂😂😂
Kilichowakimbiza wale wengine kwenda wasafi ni nini😂😂😂
Tangu muda EFM inalalamikiwa hailipi mishahara kwa muda
😆😆😆😆😆kwan kaka kikatuni kakufanya
Maana una hasira zaidi ya herode mwnywe😂😂😂😂ila mbona mlikua mnamsifia fresh alivyopata kazi EFM mkasema ni mtu wa kuigwa😂😂😂😂😂imekuaje jaman