Selfika na JF: Snap it. Show it

jamaniii nawashwaaaa kumkaangaaaa yulee mbwaaa, yaan natamanii maneno mapyaaa yanijie kichwaniii

Mbwaa yuleee alininyalii eti mie twitter nimemkuta na nitamuachaaa, nyokoooo zake


Halina hata vyetiiii, hivi majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetiii???
 
Kuna kale kadada kanaitwa Ilham nako wamekachanganya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wanasema pisi yake kikatuni๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Sasa akihama twita itakuaje maana hakuna anapojulikana zaidi ya huko
Sio ajabu yenywe kibarua kwa majizo kikaota nyasi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Arudi zake kwnye msharaha wa 600k
Nahis na coco atamkimbia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Msameheni wazeee.

Ila lakumfananisha mke wake na wa herode dah mmeshindikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukipata na picha ya katoto kao tunafananisha pia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ila heshima yake imeshuka balaa
Kila mtu saiv anamwambia tunagombana kwa vyeti, bank statement na mke๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Ana Cherti bwana si alikuwa headquarter za equity afisa masoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.

Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa

 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji๐Ÿ˜‚

Em rudi bana tupalilie vayolens
 
Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.

Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa

Amekua mtetezi wetu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Afu hana hata makuu, wala haringi

Umekaona kale kanaitwa sununu sijui skununu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kametweep kua upande wa kikatuni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚watu wakamwambia baada ya kusema atakugonga ndo unaanza kujipendekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ