Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.

Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii,

Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.

 
Wacha wamkaange

Amezidiiiiiiii
Wanaona wao ndo wapendanao bongo nzima
Jamaniiii dear
twitter itulie sasa, khaaaaah
Mfalme herodee alimuadhibu Yesu, ashindwe kumuadhibuu Dengee wee ulisikiaaa wapiiii???
 

Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake


We dont want peace

Vayolens activated
Vawulenceeeee

Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.

Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vyetu vya form four mmpata wapi jamanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Watu wanakaangwa ila huyu mmemchemsha wallahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu bado anajimwambafy eti yuko kwnge advertisement ya sijui nape nauye
Ila watu hawaelewi wanaruka nae mpaka alete balance yake ya bank

AkomeeπŸ˜’πŸ˜’
 
Rudi tuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hujibu kwan shingap bana

Kuna mtu kasema tofauti ya kikatuni na dr farida hamnaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kikatuni anajifanya hajali anapost vibia ila watu hawaelewi
Hadi joti kampikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚naomba mumuite majizo aingilie kati hili swala
 
hehehe pole dear
 
wapwaa tumesemaa hatumuelewiii hadi aletee vyeti na bank statements.

Mbwaa yuleeee mbna atahama twitter wee subiri, hii week tunaye na hatumuachiiii
 
K
Friday is for vayolenceeeeee.

Na Yule jamaaa mwenye pua wamemkaaanga pia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda alisema yuko shamba hana muda wa kubishanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtu akamwambia punguza poa hizo unatumia hewa nyingiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ila wamezidiiiii aiseeee
Kisa tuna followers 20 bas tunaonekana hatuna maanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…