Tukaribishane kidogo ππHiyo ni Alkasusu mujarabu tu. Bei ya bia hiyo ujue π€£π€£π€£π€£
Sio kwa ile bless ya kamkono ulichopost siku ile π€π€Mimi napiga chuma ujue
ππππ siku nikilewa nitakupa id yangu ya instaSio kwa ile bless ya kamkono ulichopost siku ile π€π€
Kile kiwanja cha wenye hela zao kama ulivyoeleza mule kwa uzi πAcha ubwegeee wewe ππ
Ahahahaha kwahiyo unataka kusemaje sina pesa?Kile kiwanja cha wenye hela zao kama ulivyoeleza mule kwa uzi π
Usije ukanipa ya mtu mwingine tu π€ππππ siku nikilewa nitakupa id yangu ya insta
Pesa unazo ndo maana kwako wavuvi kitu cha kawaida sana πAhahahaha kwahiyo unataka kusemaje sina pesa?
Sina pesa mimi fukaraPesa unazo ndo maana kwako wavuvi kitu cha kawaida sana π
Ukila mihogo hushibi?Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??π
Nina follower 87kUsije ukanipa ya mtu mwingine tu π€
Salamu nyingi zimfikie π ngoja nikuje mjini nimuibe wkend moja.Anapendeka kirahisi sana huyu mBebΓ© jamani!βΊοΈπ€©
Sikia figo76,Na atatoa ole wake asitoe jaman tutamuita dume zembee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yulee hii week yote tunayeee, na hatumuachiii, tunataka twitter iwe ya usawaaa.Hahaha coca mpana sana wewe
Muoneeni huruma inatosha maana sio kwa spana zile mnazompa
Thubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aahahahaa ila najua mimi na wewe hatugomban utanitajia zote nitakufollow
Una salary ya digit 7 wewe? [emoji23][emoji23]Thubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nashiba, ila sio kwamba napendaπUkila mihogo hushibi?
Cna, ula vyeti vya O level ninavyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa alizidi,, akapikwa akaiva[emoji16][emoji16]Cna, ula vyeti vya O level ninavyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]