mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,306
- 72,056
hakuna mbabe mbele ya 40 abv usinidanganye 😂Niko smart sana, nalewa yes but sijawahi yumba. Na huwa sizimiki. Kwanza naywea home. Hiyo chupa moja nakunywa wiki nzima.
hakuna mbabe mbele ya 40 abv usinidanganye 😂Niko smart sana, nalewa yes but sijawahi yumba. Na huwa sizimiki. Kwanza naywea home. Hiyo chupa moja nakunywa wiki nzima.
😂😂😂😂😂😂😂Kwa mbali uijue hiyo movie, ungetaja jumong sawa. 🤣 We ni pro mwenzangu
Nachanganya kidogo tu, ndio maana nakunywa wikihakuna mbabe mbele ya 40 abv usinidanganye 😂
Depal tupia pic moja basi mrembo.😂😂😂😂😂😂😂
sasa mzuka ule kuweweseka unapataje 😂Nachanganya kidogo tu, ndio maana nakunywa wiki
Nimewahi kuweweseka? 😅😅sasa mzuka ule kuweweseka unapataje 😂
sasa raha ya kunywa si ile kuwa tipsy??Nimewahi kuweweseka? 😅😅
Tunatofautia vichwa 😅 mi nikiwa high hata tukikutana huwezi nigundua haraka.sasa raha ya kunywa si ile kuwa tipsy??
ipo siku utakutana na mtungi wa hatari 😂Tonatofautia vichwa 😅 mi nikiwa high hata tukikutana huwezi nigundua haraka.
Nakunywa kwa afya sio kukomoa.ipo siku utakutana na mtungi wa hatari 😂
Mi nitawasha taa huku nitakuona tu😂Kuna gizaa
basi acha soda hamna afya yeyote paleNakunywa kwa afya sio kukomoa.
Kwa nnbasi acha soda hamna afya yeyote pale
haina nutritional valueKwa nn
Nitapata kwingine😅haina nutritional value
hii dunia tunapita tu.... ni kujijaza machemical kila konaNitapata kwingine😅