Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Bora kama unapambana na wastaafuπππ wababa hizo mambo hawajui
Mbona mapema sana π
Me namshangaa mtu asiyekula makande.ππΎππΎ
Sasa umetaja makande ya kazi gani?????ππ Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!π΅
Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!π€€π€€
So ndio miamba ya SKU hiz
Inachapia had wale za watuSo ndio miamba ya SKU hiz
Natengeneza mazingira ya kupata raise boss.π€Mbona nakuonaπ
Kaboss ka mchongo mchongo!βΊοΈπ€©Mbona mapema sana π
Au we mwenyewe ndio Boss π₯°
Huo muda nilikuwa kwa blanket π
Yan huku hatupoi, tumemaliza mvua tunaingia baridi.
ππππMe namshangaa mtu asiyekula makande.
Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania π
Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi πππ
Looking sharp!!!!ππΎIt's fridayView attachment 2635103
Hapo sasa mrembo. Usijali nitakutumia Whatsapp, uchague upi utaupenda. Ungekuwa hapa nilipo, ungetengeneza nilionao mimi sasa.Bantu Lady Aaliyah cocastic Naombeni msuko mmoja uwe mkareeee yani matraaatraaaaa sanaaa .. utaonipendezaa kwenye li komwe languu hiliiiiππ!!
Sio knotlesss . sio mabutu sio njia mbili sio yebo.. Mwingine kabesaaaa
Sawa nitumie kule kipenzi wabheja sana!!Hapo sasa mrembo. Usijali nitakutumia Whatsapp, uchague upi utaupenda. Ungekuwa hapa nilipo, ungetengeneza nilionao mimi sasa.
Uko vizuri kwa mapishiππΎππΎ
Sasa umetaja makande ya kazi gani?????ππ Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!π΅
Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!π€€π€€
Unanua mbili moja ya kuonja na nyingine kupikiaUko vizuri kwa mapishi
Karanga ni nzuri sana pia ikitumika kwenye mapishi. Tatizo langu nikinunua karanga zile zilizosagwa na kuwa packaging huwa naanza kushawishika kuzila zenyewe au kupaka kwenye mkate. Hazitoboi kukaa muda mrefu
Nakushauri unyoee Afro tyuuh.Bantu Lady Aaliyah cocastic Naombeni msuko mmoja uwe mkareeee yani matraaatraaaaa sanaaa .. utaonipendezaa kwenye li komwe languu hiliiii!!
Sio knotlesss . sio mabutu sio njia mbili sio yebo.. Mwingine kabesaaaa