Selfika na JF: Snap it. Show it

Napenda sana nazi aisee. Ukiacha wali nazi
Nina hizi mboga zangu lazima ziwe na nazi maharage, njegere, samaki, kisamvu

Makande nazi pia
πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ

Sasa umetaja makande ya kazi gani?????😟😟 Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!😡

Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!🀀🀀
 
Me namshangaa mtu asiyekula makande.

Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania πŸ˜‚

Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona mapema sana πŸ˜€
Au we mwenyewe ndio Boss πŸ₯°
Huo muda nilikuwa kwa blanket πŸ›Œ
Yan huku hatupoi, tumemaliza mvua tunaingia baridi.
Kaboss ka mchongo mchongo!☺️🀩

Nimeshtuka nikaona badala ya kurudi ku πŸ’€ bora nianze siku yangu mapema, nipunguze task zangu & πŸ“§ alafu ntanap nikizidiwa.

Usingizi wa baridi na mvua ni mtamu sana!!!πŸ€— Kama hamna haja ya kuamka mapema then hamna haja ya kuamka mapema!😁 Alafu kwani hamuwezi kutupunguzia hiyo baridi yenu kidogo na sie tupumue??πŸ™„
 
Me namshangaa mtu asiyekula makande.

Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania πŸ˜‚

Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila 🫘) ya kule kwetu milimani!πŸ€“πŸ€“

Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…