The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,580
Moro hii
Waacheni watoto wazuri waje gheto kwa maana ufunguo wa gheto ninao (baahari 15:6)Hii kweli injili ya geto.


Karibu siku moja tule mahubiriWewe humpi hela eeehhh
Hapa wapi??? Kama napajua hivi
Mafichoni sio salama
Hayo ndio maneno sasa.Heheh usijali tutafungua sredi yetu peke yetu![]()
Nimekagua mwanzo mwisho naona sijui miguu mara sura imefunikwa na li imoj sasa kwan wakiweka ata paja si hatutajua ni la nani?



Yaani nasoma vitu anakuandikia aibu naona mimi![]()
Khaaaah!! Yaani umepita kote!! Kweli una juhudi.Hahah niliona convo yenu juu juu huko nikipita kuweka tick za mahudhurio
Kwan ujaona hapo mkuuWe mapaja yako yako wapi?
We mtoto shika adabu yako ebo!!!!Waacheni watoto wazuri waje gheto kwa maana ufunguo wa gheto ninao (baahari 15:6)
Karibu siku moja tule mahubiri
Nimekagua mwanzo mwisho naona sijui miguu mara sura imefunikwa na li imoj sasa kwan wakiweka ata paja si hatutajua ni la nani?
You have a point mkuu.. Sema umenichekesha sana aisehSema ukweli bana jamani auntieKwani hao akina Dulla wako nani aliwahi kunipa hela!!
Bora hata mkwe wangu wa ukweli ananinunuliaga vitenge.