Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,281
- 33,591
Nikajua umefichwa sababu ya mvua zilizokua zinanyesha last weekNipooo
Nikajua umefichwa sababu ya mvua zilizokua zinanyesha last weekNipooo
Hapana jamanii, nipo mimiNikajua umefichwa sababu ya mvua zilizokua zinanyesha last week
Good.. mimi sina shida hapo. Ila broh.Duh, ata yeye ananichukulia kawaida sana .. Nadhani yeye ndio ananizibia rizki
Ahsante Sana binti.. be blessed too..young but matured,, God bless you..
Ukuwe mume mwema kwa wifi yangu mimi jamani
MtumeeeeeeKama kweli mkuu itabidi tukupeleke makumbusho ya taifa maana nahisi Tz umebaki peke yako
unawakosesha bahati wanaoWe kua kwanza, utakuwa mkwe kwa wanangu wengine.
Ok mkuu Nina 21, Asante kwa ushauri kuanzia 2021 nitafanya ivoGood.. mimi sina shida hapo. Ila broh.
Kama umri wako unarange 15-21 ruhusa kuwa na mpenzi wa aina hiyo! But kama una 22 kuendelea achana nae huo ni muda wa kijana hasa wa kiume kuipamba future yake..
Kama unaona hakuna mapenzi ya dhati kati yenu mnaunganishwa na kufanya ngono tu. Temana nae.. huo ni muda wa kua na mpenzi (sio demu) wa malengo nae ambae mnaweza mkakaa chini na kupanga mambo fulani yakasonga!
Hata kama hamtafika lengo la kuishi milele ila ni vizuri zaidi kua na mtu ambae una commitment nae si unajua Penye wawili wenye visión moja hakiharibiki kitu..!
Kaa chini fikiria faida ya huyo demu wako, hafu angalia future yako kijana
Hapana . Ni mwendo wa negatives tuKupima siyo shida,, shida ni kupima na kujikuta positive..


maandishi yamewaponza wengi hapa jukwaani...
young but matured,, God bless you..
Ukuwe mume mwema kwa wifi yangu mimi jamani
endiwoMmmhhh
Uongooo
How mkuu 😂😂😂😂😂maandishi yamewaponza wengi hapa jukwaani...



How mkuu![]()
Nimesoma chat mpaka hapa.
Wapendwa watu wanzima sio lazima tukumbushane CHAT NA PICHA.
.



huo mstari huwezi kuwapata wadada wa humu unazingua bana...wa humu ndio hao hao tupo nao mtaani kila siku.
Mimi mbona siko upande huo..! Hua napenda kuwasilisha tu mawazo yangu kama mada itakua imenigusa. Hua siangalii jinsia.. Hata nikiwatetea nina uhakika asilimia 120% siwezi kuwapata au kuwamudu madada wa humu.
Sina sifa ya uchomoa betri wala ubaharia..I'm just the dump one
Mama mdogo wa taifa ni nani?Huyo dada hapo kafanana na mheshimiwa mama mdogo wa taifa