Duh this is funnyYou are making mountain out of hills. It was no joke no did I mean it in any bad way. Never fought or annoyed you since I have known you. Anyway sawa tumalize na umeeleweka. .
haha dah huyu jamaa kuwa makini nae hana nyumba yeyoteπKwa hiyo na wewe hapa mjini ni baba mwenye nyumba? π
π chanika chanukah huko kuna sehemu panaitwa kwa Singa. Ni mbali kidogo. .π€£π€£π€£ basi atakuwa anenda kulima mashamba ya mihogo Kongowe
Inawezekana Ila lilipita likakuimarisha.nilipigwa zongo sijui
haitorudi kamwe IJN
Thank youInawezekana Ila lilipita likakuimarisha.
Amen na iwe hivyo.
Asante kwa mama alikuwa karibu kukuokoa la sivyo leo tusingemjua TinsleyGod jamani
ilikuwa almost , my mama alininiokoa .
infact i survived nilipo kuwa mdogo kudumbukia kwa freezer
Eti ananiambia alinunua kiwanja makaburini alipojenga hiyo nyumba!πhaha dah huyu jamaa kuwa makini nae hana nyumba yeyoteπ
Mwachiluwi kwa nini unamdangany Mzee wa kupambania?
Au Chanika Mvuti mtaa wa Kiboga huko ππ chanika chanukah huko kuna sehemu panaitwa kwa Singa. Ni mbali kidogo. .
Yeah Amen to thatAsante kwa mama alikuwa karibu kukuokoa la sivyo leo tusingemjua Tinsley
Jamani ulikuwa katundu nini utotoni? ilikuwaje hiyo freezer π€
dah aisee huyu ni muongo sana.Eti ananiambia alinunua kiwanja makaburini alipojenga hiyo nyumba!π
Siwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanikaπAu Chanika Mvuti mtaa wa Kiboga huko π
Polee π ulikuwa na umri wa miaka mingapi? Nani walikuja kukuokoa?Yeah Amen to that
ya freezer ilikuwa usiku nasikia kiu naambia ndugu zangu nataka maji ya baridi wao wako nje wanapiga stori .
nikiingia ndani kwa freezer , ile nachukua maji kwa freezer nadumbukia hadi ndani .
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine πSiwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanikaπ
Stress za life? Mie niliwahi taka kujiua ila kwangu issues ilikua Jambo lisiyofaa, haihusu life, yaan ugumu wa maisha had suicide? DuuuhUsishangae Coca! Depression is a serious matter. Ni vile tu huku kwetu bado hatutaki kui-acknowledge na kuipa uzito iliyonao.
Duuuh poleee dear aseeeh,yeah ngumu sana
moyo ulikuwa unauma sana kila siku nakunywa dawa
π kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyewKule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine π
mdogo sana aisee around 7.Polee π ulikuwa na umri wa miaka mingapi? Nani walikuja kukuokoa?
thank you ππDuuuh poleee dear aseeeh,
Umepitia misukosuko sana. Mungu na apewe sifa zake ni kwa neema aliwatumia watu wa familia kukusaidia.mdogo sana aisee around 7.
my sisters πππ
mmoja akaona mbona hanioni wakaanza kunitafuta , usiku huo halafu T haonekani mama alikuwa anakaribia kurudi ndo kufungua nipo kwa freezer .
ni Mungu tu .
Vipi nyumba yako ya kuishi mwenyewe na familia yako?π kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinzaπ mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .