Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄Siwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanika😀
Stress za life? Mie niliwahi taka kujiua ila kwangu issues ilikua Jambo lisiyofaa, haihusu life, yaan ugumu wa maisha had suicide? DuuuhUsishangae Coca! Depression is a serious matter. Ni vile tu huku kwetu bado hatutaki kui-acknowledge na kuipa uzito iliyonao.
Duuuh poleee dear aseeeh,yeah ngumu sana
moyo ulikuwa unauma sana kila siku nakunywa dawa
😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyewKule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄
mdogo sana aisee around 7.Polee 🙊 ulikuwa na umri wa miaka mingapi? Nani walikuja kukuokoa?
thank you 😍😍Duuuh poleee dear aseeeh,
Umepitia misukosuko sana. Mungu na apewe sifa zake ni kwa neema aliwatumia watu wa familia kukusaidia.mdogo sana aisee around 7.
my sisters 😍😍😍
mmoja akaona mbona hanioni wakaanza kunitafuta , usiku huo halafu T haonekani mama alikuwa anakaribia kurudi ndo kufungua nipo kwa freezer .
ni Mungu tu .
Vipi nyumba yako ya kuishi mwenyewe na familia yako?😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinza😀 mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .
Amen , hakika anastahili sifa zote na utukufu .Umepitia misukosuko sana. Mungu na apewe sifa zake ni kwa neema aliwatumia watu wa familia kukusaidia.
tupo dearHelow selfika
Mmelalaaa?
paka mbona unaishi nae vizuri tuOya kipo sokoni? Huwa navipenda sana vikiwa kitten. Ila wanasema paka haishi kwa msela 😅
[emoji8][emoji8][emoji8]thank you [emoji7][emoji7]
hamjambo huko na G[emoji8][emoji8][emoji8]
Naumwahaha dah huyu jamaa kuwa makini nae hana nyumba yeyote😀
Mwachiluwi kwa nini unamdangany Mzee wa kupambania?