Selfika na JF: Snap it. Show it

huyu jamaa kwel anakaa na wazazi sio masikhar akikwambia sivyo ujue kadanganya

alafu ana tabia ya kuja pm na I'd zake anajifanya demu ukijichangany umepotea jinga sana
🀣🀣🀣 hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…