huyu jamaa kwel anakaa na wazazi sio masikhar akikwambia sivyo ujue kadanganyaHahaha haya bana mara ya mwisho ulisema unaishi kwa wazazi ila sio kesi gonga wali tuje tupige mastori ya town
karibu mzee tuchocheeUkiona Uzi unakimbia ujue Kuna hii namba apa mshamba_hachekwi
sijui huko chuo anasoma saa ngap akitoboa niite mbwaπUkiona Uzi unakimbia ujue Kuna hii namba apa mshamba_hachekwi
wewe sio mweupe vile, nakataa πhaha π bangi hazijawah mwacha mtu salama
oya mshamba_hachekwi huyu jamaa sio ye34nbe kweli?
π€£π€£π€£ ngoja nitupie picha ya kihuniEeeh, Bangi tena ?
Atajiunga na kijana mwenzake mzee wa dislike watadiscosijui huko chuo anasoma saa ngap akitoboa niite mbwaπ
Mda kidogo wakati nipo shulePolee. Shida ilikuwa nini jamani? π
π€£π€£π€£ hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadekihuyu jamaa kwel anakaa na wazazi sio masikhar akikwambia sivyo ujue kadanganya
alafu ana tabia ya kuja pm na I'd zake anajifanya demu ukijichangany umepotea jinga sana
Gily umenigeuka siohuyu dogo ni muhuni mmoja ananunua malaya tu tena wale wa buguruni wachafu wachafu
Ahaha ila ukweli si unaujua nilikwambia the firsy day tukiwa julianaHahaha haya bana mara ya mwisho ulisema unaishi kwa wazazi ila sio kesi gonga wali tuje tupige mastori ya town
kama fala sijawah ficha uhalisia wangu. π wanaonijua hunuwewe sio mweupe vile, nakataa π
toka umpigie simu wife ukanza kuniharibia nasubiri siku nikuharibie. Walah wabilah iko siku tu πGily umenigeuka sio
hongera aisee shem kapata HB master of supervillains πkama fala sijawah ficha uhalisia wangu. π wanaonijua hunu
1. Tinsley
2 Nourhan
3 Mwachiluwi
4 Uboboh
5 ms eyes
6 Dahan
7.....
wengine marehemu sasa. Humu tuna marafiki wa kufa na kuzikana nyinyi mnakuja kupoteza mdaπ
Ahahaha wewe fwala mimi sikai mageton nakaa kwenye nyumba ππ€£π€£π€£ hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadeki
huyu dogo hakai sinza yulo huko karibu na mkoa wa pwani. Angekaa sinza angeringa sanaππ€£π€£π€£ hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadeki
Pole sana huwa unakabilianaje na hiyo hali ili isije tokea tena kufanya maamuzi kama hayo?Mda kidogo wakati nipo shule
nilikuwa naumwa sana na nilikuwa sielewi hii dunia .
mara ya pili baada ya mama kuondoka , i felt empty , nikawa na shida fulani ikaniongezea masikitiko .
nina moyo wa ajabu , unawahi kuumia sana mtu chake .
Kutuma jambo la hovyo kama hili hadharani, inahitaji mtu kuwa na roho ngumu sana. Dogo una roho ngumu mno, amini nakwambia....π€£π€£π€£ ngoja nitupie picha ya kihuniView attachment 2633802
πππ sikup simu uongee na shemyako walahiiitoka umpigie simu wife ukanza kuniharibia nasubiri siku nikuharibie. Walah wabilah iko siku tu π
Nakumbuka sana. Kwa hiyo umepanga huko huko Sinza?Ahaha ila ukweli si unaujua nilikwambia the firsy day tukiwa juliana
Leta takwimu tuoneNiny mnaroho mbaya