ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.
ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.