EeehhhMkewe ndio nina mimba yake.
Ni nani eti jamani auntie...Yaani nasoma vitu anakuandikia aibu naona mimi![]()
Huu mfurugano hata siuelewi mkwe wangu.Ujue ananichanginyi sani kwa kwelo (in Bambo' voice na ile sura kama mtu kanyimwa chenji)
HallelujahHeheh usijali tutafungua sredi yetu peke yetu![]()
Bora tu nimzalie mke kuliko unavyomnyasanyasa.Eeehhh
Dunia simama nishukee mimii
NakaziaWe mapaja yako yako wapi?




(hadi sasa hivi sina mbavu hilo jina)
Khaaaah!! Yaani umepita kote!! Kweli una juhudi.
Unipe nipeleke myAnapata hela na sanduku la vitenge vya mkwe...

Acha kujimwambafai mkuuKwann baby
Sitaki pitwa na yanayojiri...ningejuaje tunaitwa kina Dulla wa Jeiefu(hadi sasa hivi sina mbavu hilo jina)









Aibu naona mimi
Hebu huko!!!Aibu naona mimi