Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba nifafanulie tasavali, me kichwa changu kizito nilikimbia umande ndugu yangu
Wanaotoa ushauri wa kukufanya uwe na maisha ya mtindo fulani kumbe wenyewe maisha yao yana changamoto nyingi sana lakini kwenye kutoa ushauri wapo vizuri sana na ndio maana nakuaambia ukipewa maneno changanya na akili zako pia
 
Si ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.

Waambie bana wasiwe wanatuspoil sana, sometime watulishe mihogo sio kila siku wine na nyama chomaπŸ˜‹
Hahaha..............I wish ujengewe sanamu yako hapo City center

Wasiwasi wangu, ni kuwa utaendelea kuwa na huu msimamo hata utakapo ona boom mshamba_hachekwi limetoka πŸ˜…
 
Nijengeeni kwanza sanamu na mnipe maua yanguπŸ₯°

Boom la mshamba_hachekwi likitoka hahahaa tutaona itakavyokua πŸ˜‚
Kwa kuwa kazi ya Ujenzi ni shirikishi basi nitatoa gharama zote za Ujenzi alafu kazi ya kusimamia ubora nitamwachia mshamba_hachekwi , akichakachua sementi juu yake πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…