Selfika na JF: Snap it. Show it

poleeeee sanaaaa.

Mie ile final ya citizen na chelseaa UEFA, nyie nililia km mwehu, nawachukia Chelsea hadi leo.

Kwanza tukiwa tunakutana nao natamanigi tuwabondee haswaaa, kwan leo walivyotupa heshima rohoo kwatuuu, na tumewachapaa kimokoooo.

 
Kimoko kwa afya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ningeshaingia kwenye uraibu wa kubett, yule Kaka alitaka kunipotezaa kabisaa lol. Nashukuru niliepuka mapema
Kubet ni diet wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mna kazi sana
 
Kuna rafiki angu aliingizwaa mkenge na bwana ake, eti akasema waweke 30k kwa kubett kuna hela nyingiii.

kilichofataa shemelaa alichaniwa shati ktk kugombanaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…