Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu mnadeka , mie nikiumwa hata


mwaka jana niliumia sikio nusu ear lobe ikatike .
nilijikaza dereva kanigonga na kusepa ..

watu wanauliza hajakutoa damu najibu eeh
kumbe nimeumia .
Mungu apewe sifa
wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.

Aseeeeeh poleee sanaaa, sasa huyo dereva hadi atake kukutoa sikio alikua haoni, lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…