Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole saaana

Pole saana.

Hapa Kapachino. Ulikuwa wapi??
 
Mbna km napajua, si malamba mawili msikitini unaingia kwa ndanii?? Au
Hapana,

Ni Mtoni kijichi,kule ushuani kabisa. Zamani palikuwa hapatoshi but now days Hakuna watu kabisa. Walevi watu wa ajabu Sana,wameshakimbia. Sasa hivi Gate way ndiyo kunajaa.
 
Duuh poleee shangaziiiii, sasa ndo uliee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiumwaa siwezi kulala pekee angu, siweziii hataaa.
Watu mnadeka , mie nikiumwa hata πŸ˜‚πŸ˜‚

mwaka jana niliumia sikio nusu ear lobe ikatike .
nilijikaza dereva kanigonga na kusepa ..

watu wanauliza hajakutoa damu najibu eeh
kumbe nimeumia .
Mungu apewe sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…