Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaendelea vizuri sana!πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao ndo wazurii wee dear.
Mbna ulikataa fursa adhimu.
Na tulikaribia kufika hahaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
siwawezi nasikiaga wahuni sasa mtu mgeni humjui , mmekutana tu dukani πŸ˜‚πŸ˜‚ .

Nilianza kumzoea , nikaamua nimchane siwezi , haikuwa rahisi but i had to .
 
Na tulikaribia kufika hahaa [emoji23][emoji23][emoji23]
siwawezi nasikiaga wahuni sasa mtu mgeni humjui , mmekutana tu dukani [emoji23][emoji23] .

Nilianza kumzoea , nikaamua nimchane siwezi , haikuwa rahisi but i had to .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimechekaa mnooooo.
Kwann lakini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimechekaa mnooooo.
Kwann lakini.
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke πŸ˜‚πŸ˜‚

Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .

alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia πŸ˜‚πŸ˜‚

so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…