Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo nisamehe sana kulingana na miiko na mwongozo wa kazi yangu kuna watu wanajua hadi nywele zangu tuendelee kuchati tuu! Hapa pako poa sana

Sent from my TECNO BD2 using JamiiForums mobile app
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au?
 
Sweet pie wee wa kunifungia vioo mie? Nakuona uko winja winja na wegine hapa jamvini.

Hivi ni umepata babee mpyaa anaitwa pretatahit,

Fanya huu mwaka harusi tuwe nayoo.
Heheeee nimecheka wallahi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
anaitwa Peterrabbit aiseeee

nisamehe dear , tupo pamoja sana tu .

Hamjambo huko ???
 
Hata sisi tuna miiko na muongozo wa kazi zetu, na kuna watu wanajua hadi vuzi LA kinyeo chetu, hebu tuma picha hapa.

Ko umekuja kutuchoraa au?
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 !

Naona unajizima data
kama Umesahauu kauli mbiu yakoo eh !
"Hakuna mpyaaa humu"

Nimekukumbusha tyuuu dear miee napitaaaπŸ‘‹πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ
 
sasa shouzzz mie tena nisijuee hilo? Selfika tangu lin ikawa na Ingizo jipyaa?

Mie nlikua namjokee tyuuh, kwanza selfika ilivyo vamiwa sahivi haina hata mwendo yaan

 
Tuone picha
sasa mbona umechangamka hivyo
.

nakumbuka nilivyokuwa mgeni hadi kuandika nilikuwa siwezi hadi nifikirie mara mbili

Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
 
Acha uoga mm mshipa wa aibu Sina tena mm ukinikaribisha kwako tunafanya mapenz hapo hapo tena siku hyo hyo
Kumbe ww una aibu ehh
Heheehe hapana siwezi fanya michezo hiyo .

kodi alipe mwingine aje alale mwingine no πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

nina aibu sana eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…