Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,393
Ongela kwa umauzini maamuzi tu, maisha bila chipsi yanawezekana!!
Ongela kwa umauzini maamuzi tu, maisha bila chipsi yanawezekana!!
Ohhhh dah ata sijaona
Kesho na jambo langu pale naanzia fishmarketTukutane wavuvi[emoji3]
Kesho na jambo langu pale naanzia fishmarket
Mna hela ya mafuta? 🙄🙄Utupitie na [mention]Lenie [/mention]
Atupitie tukale bataUtupitie na [mention]Lenie [/mention]
Mna hela ya mafuta? [emoji849][emoji849]
Ondoa shaka nitawalinda mpaka mwishoHela ipo sema hofu ni usalama weti![emoji28]
Atupitie tukale bata
Mbona unawaza vibaya ivyo ondoa shaka baba eee niachie mimi kila kituHuyu mzee wa on atatupigisha mzinga[emoji28]
Njaa zinaumaMnaendeleaje 😊
View attachment 2627596
Hilo linanipa mawazo sana 🤣Hela ipo sema hofu ni usalama wetu![emoji28]
Una hela?Mbona unawaza vibaya ivyo ondoa shaka baba eee niachie mimi kila kitu
Nilaleje na meza yangu imejaa madaftari sijamaliza kusahishahaya lala uamke na njaa ya kufa mtu....
Unakula mshahara wa bure kazi kufanya unaona uvivuNilaleje na meza yangu imejaa madaftari sijamaliza kusahisha
Picha hata sioniiii, hii app khaaaah.Calling it a day!
Muwe na weekend njema wapendwa[emoji3577]!
na wewe upo team mpwayungu??😳Nilaleje na meza yangu imejaa madaftari sijamaliza kusahisha
Nitakopa ila ninyi si mpo mabossUna hela?
Polee dearr mi kila siku nakwambia tumia browser huelewi kwa app picha hazifunguki!Picha hata sioniiii, hii app khaaaah.
Afu mwenzio napoteza appetite ya JF sijui uzee sijui nn aaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]