mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,315
- 72,082
haya lala uamke na njaa ya kufa mtu....Pambania kombe. Ushindani ni mkali sana
haya lala uamke na njaa ya kufa mtu....Pambania kombe. Ushindani ni mkali sana
Uongooonina mwaka sasa sijala chips... nakula tu chips dume😂
ni maamuzi tu, maisha bila chipsi yanawezekana!!Uongooo
Ohhhh dah ata sijaonaKijana tulia uandike vizuri![]()
Ongela kwa umauzini maamuzi tu, maisha bila chipsi yanawezekana!!
Kesho na jambo langu pale naanzia fishmarketTukutane wavuvi![]()
Kesho na jambo langu pale naanzia fishmarket
Mna hela ya mafuta? 🙄🙄Utupitie na [mention]Lenie [/mention]
Atupitie tukale bataUtupitie na [mention]Lenie [/mention]
Ondoa shaka nitawalinda mpaka mwishoHela ipo sema hofu ni usalama weti!![]()
Mbona unawaza vibaya ivyo ondoa shaka baba eee niachie mimi kila kituHuyu mzee wa on atatupigisha mzinga![]()
Njaa zinaumaMnaendeleaje 😊
View attachment 2627596
Hilo linanipa mawazo sana 🤣Hela ipo sema hofu ni usalama wetu!![]()
Una hela?Mbona unawaza vibaya ivyo ondoa shaka baba eee niachie mimi kila kitu
Nilaleje na meza yangu imejaa madaftari sijamaliza kusahishahaya lala uamke na njaa ya kufa mtu....
Unakula mshahara wa bure kazi kufanya unaona uvivuNilaleje na meza yangu imejaa madaftari sijamaliza kusahisha