Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Tayari mimi niNimeambiwa nakufanya uwe curious, au maana sion vizuri
curious usiwaze 😂😂
Tayari mimi niNimeambiwa nakufanya uwe curious, au maana sion vizuri
Wewe, Endelea kuzitimu tu kwani kitu gani😂Duh so sad
Ni kuwa makini sana .
Njoo tuonane yaishe na sio picha picha tafikiri tupo shule 😂.
Au mchat kwa text normal kama mpo mbali
Hawana sifa nilozotaja hapo. Ni jua la Jioni haoHahaa wapo mabinti wengi mitandaoni wana nude pics au half naked
Hahahaa au sura ya kijana wa ovyo anaogopa kichupa kisije kuzagaa kwa mitandao watu waombane connectionKwa nini sasa, au sura yako imekaa kigaidi sana. Akawa naogopa kujiona aki trend xvid😂
Ke ukimdanganya kidogo anakutumia hata ambazo hukuomba😎Hahahaa kama ni picha tutumiane za kawaida tu za utamu BIG NO ila waathirika wakubwa wa hizi mambo ni jinsia KE
Huwa wanajisahau sana hisia za mahaba bila kutumia akili
afu tukimaliza tuta do something😁Jiandae badae nikupeleke ukale pizza 😋
Victims huwa ni ke mostly .. Unajua ukishapenda unafanya vitu bila kufikiri halfu mtu anakubembeleza baby naomba nitumie , unatuma kiulaini .Hahahaa kama ni picha tutumiane za kawaida tu za utamu BIG NO ila waathirika wakubwa wa hizi mambo ni jinsia KE
Huwa wanajisahau sana hisia za mahaba bila kutumia akili
unajisnitch mdogomdogo😅Ke ukimdanganya kidogo anakutumia hata ambazo hukuomba😎
Naomba mshamba_hachekwi uweke record swa kuhusu jibu la Tinsley. Case closedTayari mimi ni
curious usiwaze 😂😂
We bado mdogoafu tukimaliza tuta do something😁
Hehhee where , which , whom 😂😂Wewe, Endelea kuzitimu tu kwani kitu gani😂
Hahahaa au sura ya kijana wa ovyo anaogopa kichupa kisije kuzagaa kwa mitandao watu waombane connection
haya sasa umeanza staki nataka😂We bado mdogo
Kataa huu ujinga, mwambie aje aone kwa macho😎Victims huwa ni ke mostly .. Unajua ukishapenda unafanya vitu bila kufikiri halfu mtu anakubembeleza baby naomba nitumie , unatuma kiulaini .
Au basi mshamba_hachekwi asije akaona😎Hehhee where , which , whom 😂😂
Wengi wa hivyo wanajiuzaHawana sifa nilozotaja hapo. Ni jua la Jioni hao
likuwa nimechoka nikapita tu hiviilete hiyo picha....
Mwanaume wa DarNashushia na peps bard mshamba_hachekwi karibu
ni shingapi hapo??Nashushia na peps bard mshamba_hachekwi karibu