Selfika na JF: Snap it. Show it

Hehhee kwamba utakuwa mwaminifu .
Walioa ndo wapo vizuri kucheat inasemakana wanawake wengi hujiachia baada ya ndoa .
kama kwenye game hatoi ushirikiano .. Wengine wanahamisha upendo kwa watoto
ndoa ni fumbo gumu sana aisee πŸ˜…
 
Reactions: 511
Focus on your goals and motives
πŸ‘‰Tafuta au tengeneza sababu ya wewe kuishi maisha Safi.
πŸ‘‰Ngono huleta nuksi na mikosi
πŸ‘‰ Upotevu wa muda na pesa
πŸ‘‰ Jitafakari Kama unataka kuwa mama Bora au kifaa Cha Ngono kwa watuπŸ€”
I agree with you hasa hapo kwenye 1.Upotevu wa muda na pesa

2.Nuksi na mikosi
kichaa ake kumbe usipovuta cha Arusha unakuaga na akili sana Big up ✌️!
 
ndoa ni fumbo gumu sana aisee πŸ˜…
Kwa Mungu hakuna fumbo
Yeye kama mwanzilishi wa taasisi hii ya ndoa , unajua bila kumuweka yeye awe kati ya maisha yenu .

Basi hazitokwisha wivu , chuki husda Mara uzinifu etc .

I think God should be the center for all marriages , God created marriage as a picture of his covenant between Christ and his bride (church)

Sasa as couples in marriage wasali , wamtumikie Mungu , wafanye vile Mungu alivyotuagiza , lastly reflect on God's character .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…