Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,443
Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .
Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata π
kitu ni kilekile.... fairytalesEti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni π₯π₯
Hahahahayupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella π
kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumuHahahaha
Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe ππ
Hongera aiseeeMadam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??
πBora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...Hongera aiseee
Kumbe wewe si wazee wa hit and run .
Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were
Wew ni kataa ndoa kumbekupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu
niko pia kwenye kataa watoto...Wew ni kataa ndoa kumbe
Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa
Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh .
Sema hit and run unawajua mapema , wana ishara zao .kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...
Hehehe makubwaniko pia kwenye kataa watoto...
sina uhakika lakiniπ watu huwa tunabadilika....Hehehe makubwa
Hamtaki watoto tena
Huyu n mm kabisaSiku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .
Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata π
Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .sina uhakika lakiniπ watu huwa tunabadilika....
kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .
Ni kuomba tu neema ya MunguHuyu n mm kabisa
Ndoa n stress skuhz
Acha nizalishe na nilee tu
Mapenz yakamtesa zaidππYani unipe elimu ya kuwa single nipate stress ππalafu nife wasifu wa marehemu uwe alizaliwa akazurura akafaππ
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purposekwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Yaaaaan upweke tatzo kubwa tenaNi kuomba tu neema ya Mungu
Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
πππYa nn yote JamaniMapenz yakamtesa zaidππ
ππππππππYes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .
Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .
its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,
Napenda ule mstari kwa nini mnajisumbukia kuwa mtakula mini , mtavaa nini ,