Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .

Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐Ÿ˜‚
Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye??
๐Ÿ‘‰Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
 
Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko .

Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐Ÿ˜‚
Huyu n mm kabisa
Ndoa n stress skuhz
Acha nizalishe na nilee tu
 
kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose
Its not by mistake .

Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado .

its a blessing
Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote ,

Napenda ule mstari kwa Biblia Mathayo 6 :25-34 msijisumbukie mle nini , mtavaa nini , mnywe nini .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ