Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,432 Reaction score 96,808 May 18, 2023 #330,881 mshamba_hachekwi said: yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella ๐ Click to expand... Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni ๐ฅ๐ฅ
mshamba_hachekwi said: yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella ๐ Click to expand... Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni ๐ฅ๐ฅ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,882 Intelligent businessman said: Madam sikufichi, ain't doing that kind of stuff Click to expand... Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐
Intelligent businessman said: Madam sikufichi, ain't doing that kind of stuff Click to expand... Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,432 Reaction score 96,808 May 18, 2023 #330,883 mshamba_hachekwi said: maisha sio marahisi hivyo.... Click to expand... Na kwanini nizigawe au chezea pesaa๐๐
mshamba_hachekwi said: maisha sio marahisi hivyo.... Click to expand... Na kwanini nizigawe au chezea pesaa๐๐
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,432 Reaction score 96,808 May 18, 2023 #330,884 Tinsley said: Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐ Click to expand... Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye?? ๐Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
Tinsley said: Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐ Click to expand... Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye?? ๐Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,885 Intelligent businessman said: Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni ๐ฅ๐ฅ Click to expand... kitu ni kilekile.... fairytales
Intelligent businessman said: Eti Cinderella, kaangalie hotel transvania ni ๐ฅ๐ฅ Click to expand... kitu ni kilekile.... fairytales
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,886 mshamba_hachekwi said: yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella ๐ Click to expand... Hahahaha Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe ๐๐
mshamba_hachekwi said: yupo kweli?? mi naona ni fairytales kama kwenye cinderella ๐ Click to expand... Hahahaha Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe ๐๐
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,887 Tinsley said: Hahahaha Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe ๐๐ Click to expand... kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu
Tinsley said: Hahahaha Hats ujifanye shingo ngumu utailegeza mwenyewe ๐๐ Click to expand... kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,888 Intelligent businessman said: Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye?? ๐Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu Click to expand... Hongera aiseee Kumbe wewe si wazee wa hit and run . Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were
Intelligent businessman said: Madam mi silo hivyo, kwanini nimchezee mtoto was mtu Kama Sina mipango naye?? ๐Bora niwe single tu, nipambanie kampuni zanguu Click to expand... Hongera aiseee Kumbe wewe si wazee wa hit and run . Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,889 Tinsley said: Hongera aiseee Kumbe wewe si wazee wa hit and run . Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were Click to expand... kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...
Tinsley said: Hongera aiseee Kumbe wewe si wazee wa hit and run . Endelea na kampuni zako. Dunian yahitaji watu kama were Click to expand... kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,890 mshamba_hachekwi said: kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu Click to expand... Wew ni kataa ndoa kumbe Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh .
mshamba_hachekwi said: kupenda kupo, ila kuishi maisha yako yote na mtu... hiyo ni ngumu Click to expand... Wew ni kataa ndoa kumbe Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh .
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,891 Tinsley said: Wew ni kataa ndoa kumbe Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh . Click to expand... niko pia kwenye kataa watoto...
Tinsley said: Wew ni kataa ndoa kumbe Miaka kumi ijayo , itakuwa balaa Wanaume mtajikuta mna watoto wengi nje , wengine mmewatekeleza duh . Click to expand... niko pia kwenye kataa watoto...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,892 mshamba_hachekwi said: kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run... Click to expand... Sema hit and run unawajua mapema , wana ishara zao .
mshamba_hachekwi said: kwa kila mmoja kama yeye, wapo 100 wa hit and run... Click to expand... Sema hit and run unawajua mapema , wana ishara zao .
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,893 mshamba_hachekwi said: niko pia kwenye kataa watoto... Click to expand... Hehehe makubwa Hamtaki watoto tena
mshamba_hachekwi said: niko pia kwenye kataa watoto... Click to expand... Hehehe makubwa Hamtaki watoto tena
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,894 Tinsley said: Hehehe makubwa Hamtaki watoto tena Click to expand... sina uhakika lakini๐ watu huwa tunabadilika....
Tinsley said: Hehehe makubwa Hamtaki watoto tena Click to expand... sina uhakika lakini๐ watu huwa tunabadilika....
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,978 Reaction score 14,097 May 18, 2023 #330,895 Tinsley said: Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐ Click to expand... Huyu n mm kabisa Ndoa n stress skuhz Acha nizalishe na nilee tu
Tinsley said: Siku moja mkaka kanisani kasema hivi yeye haoi maana huduma zote anapewa kbla ya ndoa , ndo maana haoni haja kuvuta jiko . Mnajisevia mnavyotaka ndo manaa hamwazi hata ๐ Click to expand... Huyu n mm kabisa Ndoa n stress skuhz Acha nizalishe na nilee tu
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,896 mshamba_hachekwi said: sina uhakika lakini๐ watu huwa tunabadilika.... Click to expand... Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .
mshamba_hachekwi said: sina uhakika lakini๐ watu huwa tunabadilika.... Click to expand... Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it .
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,312 Reaction score 72,073 May 18, 2023 #330,897 Tinsley said: Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it . Click to expand... kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Tinsley said: Natumai unatania , watoto ni baraka kubwa sana . I usually don't judge people's decision . but try to rethink about it . Click to expand... kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma??
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,898 usser said: Huyu n mm kabisa Ndoa n stress skuhz Acha nizalishe na nilee tu Click to expand... Ni kuomba tu neema ya Mungu Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
usser said: Huyu n mm kabisa Ndoa n stress skuhz Acha nizalishe na nilee tu Click to expand... Ni kuomba tu neema ya Mungu Hakuna kitu ubaya kama upweke . ukishakuwa mtu mzima , jumba lote upo peke yako , hakuna wa kukujali duh .
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,978 Reaction score 14,097 May 18, 2023 #330,899 Aaliyyah said: Yani unipe elimu ya kuwa single nipate stress ๐๐alafu nife wasifu wa marehemu uwe alizaliwa akazurura akafa๐๐ Click to expand... Mapenz yakamtesa zaid๐๐
Aaliyyah said: Yani unipe elimu ya kuwa single nipate stress ๐๐alafu nife wasifu wa marehemu uwe alizaliwa akazurura akafa๐๐ Click to expand... Mapenz yakamtesa zaid๐๐
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 18, 2023 #330,900 mshamba_hachekwi said: kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma?? Click to expand... Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose Its not by mistake . Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado . its a blessing Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote , Napenda ule mstari kwa Biblia Mathayo 6 :25-34 msijisumbukie mle nini , mtavaa nini , mnywe nini .
mshamba_hachekwi said: kwa jinsi unavoiona hii dunia, uko tayari kumleta mtu humu?? humuonei huruma?? Click to expand... Yes I'm ready , since as woman God created me for a purpose Its not by mistake . Imagine your mama saying that , usingekuwepo dakika hii , watu wengi wanatamani watoto lakini hawajapata bado . its a blessing Duniaa isikutishe hakuna jipya hapa , lazima umtegemee Mungu atakuvusha katika vyote , Napenda ule mstari kwa Biblia Mathayo 6 :25-34 msijisumbukie mle nini , mtavaa nini , mnywe nini .