Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,543
- 8,818
hahaha!!Na Mimi nikimpata Kama huyo simuachii Wew jiwekw nyuma unaitwa kabisa uje unakataa 🤣🤣🤣🤣
Na kina chino watu pia madamme!!
hahaha!!Na Mimi nikimpata Kama huyo simuachii Wew jiwekw nyuma unaitwa kabisa uje unakataa 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Ila wew mpana kama Dela la kisomali 😂😂😂Good woman auntiee 🎉💐💐 chukua maua yako , acha wale maniniliu waendelee kupigwa mtungo na kupewa ahadi feki kila kukicha 😃😃😃😃😃
Anaenda bar Anajifanya kalewa, kina gongwa weeee anajikuta kazima data duuh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Jokes dearhahaha!!
Na kina chino watu pia madamme!!
Fungua code banaa auntie hapo umeniacha kabisa!!Good woman auntiee 🎉💐💐 chukua maua yako , acha wale maniniliu waendelee kupigwa mtungo na kupewa ahadi feki kila kukicha 😃😃😃😃😃
Anaenda bar Anajifanya kalewa, kina gongwa weeee anajikuta kazima data duuh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au sio mkuuu, haaa tena sisi wa magazeti in real life ni ma introverts wa kutupwa sema humu tunajimwagaga tu maana hamna effect 🤣🤣🤣Sasa mwanaume anaandka magazeti hafai wa comment fupifupi ndo mpango 🤣🤣🤣🤣
😝😝😝😝😝😝😜😜😜 Weee usiniambie sisy akee 😵😵😵😂😂😂😂Ila wew mpana kama Dela la kisomali 😂😂😂
Nitafutie ki mwalimu Basi hapo!!Ukiendekeza pesa lazima uwe mtumwa mnywanii!!
Bora niendelee kupambana nashida zangu ila sio kuwa slave wa mapenzi🙌🙌🙌🙌!!
Huyu ankoli Namgawa bureee kwakweli 😂😂😂😂! Aba files zetu wote humu hafaiii kabesssaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila wew mpana kama Dela la kisomali 😂😂😂
Sijawahi hata kumiliki samsung ndo kwanza nipo kwenye Infinix hot 10 iphone14 sijawahi kuona hta Kwa macho😂😂nzionaga kwenye instagramAu sio mkuuu, haaa tena sisi wa magazeti in real life ni ma introverts wa kutupwa sema humu tunajimwagaga tu maana hamna effect 🤣🤣🤣
Kwaiyo na ww unataka iPhone 14 sio 😆😆
Less words more actions mnywanii!! Aaacccccctttttt 😂😂😂😂 kwa sauti ya Ankoli akee 😂😁Jibu pm zangu Sasa!!
Ni wiki Sasa! Kwani nafeli wapi
Hafai kabisa Mimi langu naomba kabla hajalileta anifate pm tuyamalize kwanza mana Nina presha naweza zimia kwenye Uzi hapahapa sijui mtanibebaje🤣🤣🤣Huyu ankoli Namgawa bureee kwakweli 😂😂😂😂! Aba files zetu wote humu hafaiii kabesssaa😂😂😂😂😂
Sawasawa usiendekeze tamaa auntie yanguSijawahi hata kumiliki samsung ndo kwanza nipo kwenye Infinix hot 10 iphone14 sijawahi kuona hta Kwa macho😂😂nzionaga kwenye instagram
Najua ukiongea unamaanisha uendelee kuttupa madarasa wadogo zako wnaume sio watu aisee 😀Ukiendekeza pesa lazima uwe mtumwa mnywanii!!
Bora niendelee kupambana nashida zangu ila sio kuwa slave wa mapenzi🙌🙌🙌🙌!!
Ni mwendo wa fupi fupi mpaka mtoto aining kwenye killing zoneLess words more actions mnywanii!! Aaacccccctttttt 😂😂😂😂 kwa sauti ya Ankoli akee 😂😁
🚶🚶🚶Sawasawa usiendekeze tamaa auntie yangu
kuna wenzako humu walipigwa mtungo na hawakupewa jomoni 🤣🤣🤣,
🙃🙃🙃🙃🙃🙃 Olooolooh
hahaha sio watu baliiiNajua ukiongea unamaanisha uendelee kuttupa madarasa wadogo zako wnaume sio watu aisee 😀
Mafua lazima yakuishe tuAsalaleeee 🚶🚶🚶
🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuri auntie anguLess words more actions mnywanii!! Aaacccccctttttt 😂😂😂😂 kwa sauti ya Ankoli akee 😂😁