Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watoto wazuri wanataka wanataka maneno kidogo na pesa mingi mkuu
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Au sio sema jamaa kawala sana humu, nachekaje hapa kama fala vile

bado yule mwenye uzi wake wa nanilii, ambae nanilli anapenda kukaa huko na naniliiu, sema mambo yao sikuizi wameona acha yaishie pm tu,

Sema huko pm nami ntawadukua tu nipe muda πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…, daaah jf ni tamu sana walaiii
 
Ukiendekeza pesa lazima uwe mtumwa mnywanii!!
Bora niendelee kupambana nashida zangu ila sio kuwa slave wa mapenziπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
Good woman auntiee πŸŽ‰πŸ’πŸ’ chukua maua yako , acha wale maniniliu waendelee kupigwa mtungo na kupewa ahadi feki kila kukicha πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Anaenda bar Anajifanya kalewa, kina gongwa weeee anajikuta kazima data duuh 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom