Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alafu wewe....๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Mwanafunzi hamfundishi mwalimu!๐Ÿค“

...but anyway, M1 ndo nna namjua vizuri, alikua super smooth ๐Ÿ˜Ž ๐Ÿ‘Œ๐Ÿพ, so I imagine M2 chip will be double the fun. Japo naona kwenye reviews wanasema kuna vitu viwili vitatu bado anamzidi M2, ila 16-core GPU can give you a lot!
Am not what you would call a computer techie, sema upo vizuri.

Unaweza kuta Mac ya mwaka 2017 ikawa na perfomance sawa na ya 2020, utofauti ukawa wameboresha battery life/battery perfomance, M chip zipo vizuri kwenye battery perfomance kuliko intel,lakini perfomance Intel is the best.
 
Maaannniiinaaaaaaaa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฉ!
Wee mwanamke utatutoa rohoo ujuee auweeeeehhh!!

Hivi unajua mtu kuishiwa manenooi ajajajajajajajajahaja;!! .Uzi ufungw๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ!
Umetishaaa Umemalizaaa ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ!
Kapachino Mzee wa kupambania bila shaka hamjapitwaa
Tayari iko kwa gallery ๐Ÿ˜…
 
Au basi nimechanganya ma file ngoja niangalie vizuri ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tena sana umeyachanganya. Kaangalie upya. Mimi sina huyo mtu kabisa. Ila mdogo wangu, una shughuli hivi huwa unalala? Na una mafile ya wengi miye yangu macho hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Tena sana umeyachanganya. Kaangalie upya. Mimi sina huyo mtu kabisa. Ila mdogo wangu, una shughuli hivi huwa unalala? Na una mafile ya wengi miye yangu macho hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wala mbona sina ila kuna unaniliuuu,,,,,,

Nilikuwa naniliiiu, sema acha nirudi kule naniliiiu, nipate correct info, ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ‘Œ


shaimpepe
 
Am not what you would call a computer techie, sema upo vizuri.

Unaweza kuta Mac ya mwaka 2017 ikawa na perfomance sawa na ya 2020, utofauti ukawa wameboresha battery life/battery perfomance, M chip zipo vizuri kwenye battery perfomance kuliko intel,lakini perfomance Intel is the best.
โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜ƒ

True!! And You are absolutely right about ๐Ÿ”‹ life....sio kila mahali ukifika unaanza ku-target power outlet ilipo ndio ujibanze. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

I used to be an Intel person aswell, ila experience yangu na๐Ÿ imenifanya nione huku kwingine kunanichosha flani hivi, especially kwa kazi zangu...๐Ÿ˜, so nataka kurudi niendelee nao mpaka pale mapenzi yetu yatakapoisha!๐Ÿ˜€
 
โ˜บ๏ธ๐Ÿ˜ƒ

True!! And You are absolutely right about ๐Ÿ”‹ life....sio kila mahali ukifika unaanza ku-target power outlet ilipo ndio ujibanze. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

I used to be an Intel person aswell, ila experience yangu na๐Ÿ imenifanya nione huku kwingine kunanichosha flani hivi, especially kwa kazi zangu...๐Ÿ˜, so nataka kurudi niendelee nao mpaka pale mapenzi yetu yatakapoisha!๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜ Natumia Mac yenye intel, nimeweka windows, nachagua kipindi ina boot nitumie OS ipi, si unafahamu boot camp?
 
Not really! Embu nipe darasa kidogo...โœ๏ธ๐Ÿ“– ๐Ÿค“
boot camp assistant ni software ipo inakuja na mac os, inakuwezesha kuinstall windows na ni officially allowed by apple wenyewe, its too easy kuinstall kuliko hata Windows kwenye PC(hp, dell n.k).

Unakuwa una switch OS utumie Mac OS ama Windows unapo restart machine, kwa kufahamu zaidi tafuta youtube "how to install windows on Mac"

Napeda hii cause kwenye windows huku kuna softwares cracked za kutosha๐Ÿ˜,

Kuna software nyingi unakuta kwenye Mac lazma ununue, niki switch windows nazikuta cracked kibao torrents n.k.
 
#latenightsnacking
20230516_020043.jpg
 
Back
Top Bottom