YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Hongera mkuu 👍
Hongera mkuu 👍
Am not what you would call a computer techie, sema upo vizuri.Alafu wewe....😄😄😄
Mwanafunzi hamfundishi mwalimu!🤓
...but anyway, M1 ndo nna namjua vizuri, alikua super smooth 😎 👌🏾, so I imagine M2 chip will be double the fun. Japo naona kwenye reviews wanasema kuna vitu viwili vitatu bado anamzidi M2, ila 16-core GPU can give you a lot!
🤣🤣Sina la kujibuHongera mkuu 👍
Namsalimia sana...5 years ankol akee ..!! Anasema Anakusamiliaa sanaa
Tayari iko kwa gallery 😅Maaannniiinaaaaaaaa😍😍😍😍🤩!
Wee mwanamke utatutoa rohoo ujuee auweeeeehhh!!
Hivi unajua mtu kuishiwa manenooi ajajajajajajajajahaja;!! .Uzi ufungw💋💋🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩!
Umetishaaa Umemalizaaa 🤩🤩🤩!
Kapachino Mzee wa kupambania bila shaka hamjapitwaa
Wapi hiyo mars au..? @🤓🤓🤓🤓🤓
Nani huyo sung? ye34nbe Mtaje unamuogopa? Mimi nakojoa mwenyewe sikojolewi na mtu. Akili za usiku ✌Kwaiyo nanilii sung ndo anakojolea hapa duuh akia Mungu aseee 🥲🥲🥲
Tena sana umeyachanganya. Kaangalie upya. Mimi sina huyo mtu kabisa. Ila mdogo wangu, una shughuli hivi huwa unalala? Na una mafile ya wengi miye yangu macho hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Au basi nimechanganya ma file ngoja niangalie vizuri 😁😁😁😁😁😁😁
Wala mbona sina ila kuna unaniliuuu,,,,,,Tena sana umeyachanganya. Kaangalie upya. Mimi sina huyo mtu kabisa. Ila mdogo wangu, una shughuli hivi huwa unalala? Na una mafile ya wengi miye yangu macho hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
☺️😃Am not what you would call a computer techie, sema upo vizuri.
Unaweza kuta Mac ya mwaka 2017 ikawa na perfomance sawa na ya 2020, utofauti ukawa wameboresha battery life/battery perfomance, M chip zipo vizuri kwenye battery perfomance kuliko intel,lakini perfomance Intel is the best.
😁 Natumia Mac yenye intel, nimeweka windows, nachagua kipindi ina boot nitumie OS ipi, si unafahamu boot camp?☺️😃
True!! And You are absolutely right about 🔋 life....sio kila mahali ukifika unaanza ku-target power outlet ilipo ndio ujibanze. 😁😁
I used to be an Intel person aswell, ila experience yangu na🍏 imenifanya nione huku kwingine kunanichosha flani hivi, especially kwa kazi zangu...😏, so nataka kurudi niendelee nao mpaka pale mapenzi yetu yatakapoisha!😀
Not really! Embu nipe darasa kidogo...✍️📖 🤓😁 Natumia Mac yenye intel, nimeweka windows, nachagua kipindi ina boot nitumie OS ipi, si unafahamu boot camp?
boot camp assistant ni software ipo inakuja na mac os, inakuwezesha kuinstall windows na ni officially allowed by apple wenyewe, its too easy kuinstall kuliko hata Windows kwenye PC(hp, dell n.k).Not really! Embu nipe darasa kidogo...✍️📖 🤓
MmmhNani huyo sung? ye34nbe Mtaje unamuogopa? Mimi nakojoa mwenyewe sikojolewi na mtu. Akili za usiku ✌
😂😂itakuaWapi hiyo mars au..? @🤓🤓🤓🤓🤓
Hivi Dr si utakuwa modo sana..?#latenightsnackingView attachment 2623339
I wish!🙄🙄Hivi Dr si utakuwa modo sana..?
Hiko kisamvu leo kitazidi utamu 😍