Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,143
Unasumbua siku hizi. Tokea uhamie Masaki
Bado nipo nipo, kulala ni kuanzia saa 6
Bado nipo nipo, kulala ni kuanzia saa 6
Nicheki nikupe mchongo chapNataka Automatic lile
Nichagulie ww
Tumia karafuuMeno ya chini yote yanauma ase msaada nitumi dawa gani
Soda🧃☕️🍵Unatumia ipi wewe😅
KeshoNicheki nikupe mchongo chap
Ok. Utanicheki ukiwa poaKesho
Leo sielew kitu
Ok. Lakini hivyo vinywaji vinaendana na nyama choma kweli, piga hata 🍷.Soda🧃☕️🍵
Karibu tulale.Tumia karafuu
Swaki mara kwa mara
Yule rafiki yako mwenye dimpoz mzima? mwambie namsalimia.Bado nipo nipo, kulala ni kuanzia saa 6
Kijana nakuonaWas bee good sunday but changed evening
Nimeota umenipa pichaKaribu tulale.
Sijakuona mda best upo poaKijana nakuona

Shikamooni.
Nipo best, mambo mengi muda mchacheSijakuona mda best upo poa
MarahabaShikamooni.
Ahsante sana kufikisha ujumbe.