hujataka tu endelea kusibiri subiri utakuta mwan si wako. Kuna mwenzako alijaribu late akashika mimba miezi miwili kapoteza dalili akajua kaingia menopause. Later baada ya miaka 28 akazaa mtoto ana ndevuπ
Tena Sio ndogo π π
Alafu nimelewa kwenye familia ya baba na mama Kuna zile moment kuwa na mama na baba π₯°π₯°
nilishajiwekea mipaka na huwa Niko real nasemaga wazi Nini nataka
Na nikizaa ni Kwa hiyariyangu sio kimfurahisha mtu Hapana
Tena Sio ndogo π π
Alafu nimelewa kwenye familia ya baba na mama Kuna zile moment kuwa na mama na baba π₯°π₯°
nilishajiwekea mipaka na huwa Niko real nasemaga wazi Nini nataka
Na nikizaa ni Kwa hiyariyangu sio kimfurahisha mtu Hapana
Inatokeaje bila mwenyew kutaka, Wanaume wema sana wakitaka jambo lao wakishatimiza Huwa wanabadilika hajali umemzalia au vipi na anaweza akajali mtotowake sana tu ila kuhusu wew ndo utajua hujui ππ
Yani acha tu
Watoto huwa wanawapenda sana wazazi wao so msipokuwa karibu lazima Kuna athar zitatokea tu haijalishi anatumalaki 5 za matumiz Kwa mwez Kuna ule upendo atakosa tu
Inatokeaje bila mwenyew kutaka, Wanaume wema sana wakitaka jambo lao wakishatimiza Huwa wanabadilika hajali umemzalia au vipi na anaweza akajali mtotowake sana tu ila kuhusu wew ndo utajua hujui ππ