Mie kwenye michezo nilikua better, 4m 1 niliishia ngazi ya kanda, 4m 3 nkatoboa hadi Taifa, 4m 2 na 4 mie sikuwa nashiriki nilikuaga buzzy na masomo,
Advance mambo yalikua magumu, hata shule penyewe uwanjan nilikua naenda mara chache mnoo.
Chuo ndo kabisaa sina mda hata wa kusogea huko uwanjani mie.