Selfika na JF: Snap it. Show it

Hongera kipenz ulikuwa hatari sana mm sekondari nilikuwa nacheza kujifurahisha
sikuwah kwenda popote ila chuo nimecheza michezo karibuyote netball,volleyball,handball na nilikuwa Niko vizuri
Mie kwenye michezo nilikua better, 4m 1 niliishia ngazi ya kanda, 4m 3 nkatoboa hadi Taifa, 4m 2 na 4 mie sikuwa nashiriki nilikuaga buzzy na masomo,

Advance mambo yalikua magumu, hata shule penyewe uwanjan nilikua naenda mara chache mnoo.

Chuo ndo kabisaa sina mda hata wa kusogea huko uwanjani mie.

 
Hapana Mkuu, hiyo ni picha ya miaka almost 30 iliyopita.

Kwasasa nipo kwenye umri wa Wazee wa Baraza 😜
Mmmmh 30+ mbona kulikuwa hamna camera nzuri aseee

We ni ki uncle tu wa 40 hapo huna uzee wowote ule bana hata mshana kakuzidi umri
 
Shule haijawah nitenganisha na michezo,, hiyo fom 4 natoroka shule naenda gym ya, magereza kwenye sparring
 
Mmmmh 30+ mbona kulikuwa hamna camera nzuri aseee

We ni ki uncle tu wa 40 hapo huna uzee wowote ule bana hata mshana kakuzidi umri
Kuna app natumia kuzi upgrade picha zangu za mwaka 47 kuzibadili muonekano πŸ˜…πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

Ila umri umesogea kwa kiasi, ngoja nitupie nyingine ya mwaka 53 uone 😜
 
Kuna app natumia kuzi upgrade picha zangu za mwaka 47 kuzibadili muonekano πŸ˜…πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

Ila umri umesogea kwa kiasi, ngoja nitupie nyingine ya mwaka 53 uone 😜
Daaah πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… haya mkuuu acha nikae kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…