Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaachaje kuwaza chini na mtu kakulia pesa zako kibao kwani ndugu yako huyoo weeeehπŸ˜‚!! Mwanamke
Ukiwa omba omba lazima uliweeee!!
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜πŸ˜πŸ˜ Daaah Aunt ... Ety lazima aliwe uuuh... Na yeye anakua kajiandaa huyo
Akili ku mkichwa.
 
Mi nataka nikae kwa uhuru huku...
Yaani mtandaoni na bado hatujuani nianze kuogp ogopa jamn kweli...
Ndo mana naogopa vitu vidogo ka hivo
Ukitaka uishi kwa uhuru zaidi bora usijuaneee na mtu tyuuu!!! Kuna Vitu unaweza koments wanaokufahamu wanakuzoom na kujichekea tyyu nhiiiiiiπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ!
 
Ukitaka uishi kwa uhuru zaidi bora usijuaneee na mtu tyuuu!!! Kuna Vitu unaweza koments wanaokufahamu wanakuzoom na kujichekea tyyu nhiiiiiiπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ!
Umeonaaaa eeeeh...
Wengine humu tuna watu wetu wa karibu kabisa na hatujuani so nikichek nae anavyo jichanganyaga humu nabaki nacheka
Wakati nikikutana nae hom ni mtu mwingine kabisa ni vile hajui tuπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Situmii maziwa 😡πŸ₯΄
 
Wifii yangu mrembo nimekumiss😍

Ulijua kweli kupotea jamani hope kila kitu kipo sawa

Ndugu yako alinikimbiaπŸ₯Ί
Kwakweli mambo yalikuwa mengi na matatizo lkn tumevuka salama!
Kila kitu Sasa ni shwari!
Jamani anakukimbia ? Ulivyo mrembo? Achana nae utapata mwingine πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…