[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kwelii mwenzaaa, wee ndo liver yako ikifungwa hunipi huduma na stahiki zangu.Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Liverpool
Mwenza wangu cocastic shabiki gwiji wa Manchester City tunacharuana kweli ikicheza Man City na Liver ila akifungwa ananunaaaa hata salamu hatoi[emoji16][emoji16][emoji16]
Wee ankoli twins wameondokaa?? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Bila samahani mkuu, tumeanza maisha mapyaaa mkuu.. wanasema bwana alitoa na bwana alitwaa. Kwema lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzenu sijui nna nn yaan, kila napoangukia naangukia kwa shabiki wa Yanga.I think its fun
Mmoja akifungwa , mwenzie anashanagilia na kumtania .
Mnaspice mambo hapa na pale
cocastic njoo uongezee maneno .
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi
Hukujibu mapema nikapotezea πMwenyejiii hebu mpost jomoneee nimuonee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana National Anthem ππMambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi
Eh pole , ndo ushapenda hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzenu sijui nna nn yaan, kila napoangukia naangukia kwa shabiki wa Yanga.
Sipendii ila bas tyuuh
Safi sana
Shukran mkuuu zinaficha mengi sana aseee ππππSafi sana
Nimeona ndevu .
Hahaha , mashavu eeehShukran mkuuu zinaficha mengi sana aseee ππππ
My condolences brotherBila samahani mkuu, tumeanza maisha mapyaaa mkuu.. wanasema bwana alitoa na bwana alitwaa. Kwema lakini
irreplaceable by BeyonceNYIMBO GANI NZURI YA KUSIKILIZA UKIWA UMEACHWA[emoji17][emoji17][emoji17]
Tupoooo.....πWazee wa kuforce ππ
View attachment 2617421
Hehehe , baba wawili unaingiaje kwenye kundi letu hili ππ.Tupoooo.....π
Baba wawili mahaba yanamtesa kama ndugu yangu Carrasco putinnHehehe , baba wawili unaingiaje kwenye kundi letu hili ππ.
Pole aisee Baba wawili ..Baba wawili mahaba yanamtesa kama ndugu yangu Carrasco putinn
Nataka niongeze wawili wawe wanne ila mdogo wangu Carrasco putinn ananikatisha tamaa kila kukicha anaomba nyimbo ya kuachwa.......... na hofu hadi nyimbo zote zitaisha πPole aisee Baba wawili ..
Ongez wa tatu , uwachangamshe kidogo