Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi