Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
Natamani ningeweza kufanya recovery kama yakwako. Tangu August 26 na bado kuna wakati inafeel kama ni juzi tuu. New normal is never easy. Uko strong sana. Pole na hongera kwa kuipokea hali mapema, inasaidia kuvuka maombolezo mapema.
Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi
Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi