Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu
I think its fun
Mmoja akifungwa , mwenzie anashanagilia na kumtania .

Mnaspice mambo hapa na pale
cocastic njoo uongezee maneno .
 
Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi
 
Yah sure
Mwanamke anakuwa na hali ngumu zaidi.
Mungu amtie nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…