Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Kabisa mama pasta nataka kupungua na kitambi asee hata nipungue /nifanye mazoezi/diet vipi kitambi hakitokiiii 😁😁😂😂!Njoo tujiunge kwenye diet na mazoezi
Kabisa mama pasta nataka kupungua na kitambi asee hata nipungue /nifanye mazoezi/diet vipi kitambi hakitokiiii 😁😁😂😂!Njoo tujiunge kwenye diet na mazoezi
Nyie nyie; shikamoo kupungua. Sina hamu mimiKabisa mama pasta nataka kupungua na kitambi asee hata nipungue /nifanye mazoezi/diet vipi kitambi hakitokiiii 😁😁😂😂!
Acha kabisa yani natamani sana nipungue zaidi!Nyie nyie; shikamoo kupungua. Sina hamu mimi
Acha kabisa yani natamani sana nipungue zaidi!
Thanks BL.Msukuma samalekooo!!! Kimya sanaa mkuu I hope everything is well with you!!

Ngoja tusubiri miujiza maana sina hata mchuchu 😂😂😂Mpka ww uolewe kwanza
Yaani nimeng'atwa na mmbu sana mama mchungaji ukaniacha kwenye mataaNaona ameamua kuninyanyasa na yeye
Hii inatia moyo michepuko wote duniani kuwa wasikate tamaa IPO siku watafika tu 😂😂![]()
Camilla kutoka kuwa ‘mchepuko’ hadi Malkia wa Uingereza
Historia inaonyesha mke wa sasa wa Mfalme Charles III wa Uingereza ambaye pia ni Malkia wa nchi hiyo, Camilla Rosemary Shand alikuwa kwenye mahusiano ya siri ya kimapenzi na mfalme huyo kwa kipindi cha miaka 15 huku wote wakiwa katika ndoa zao. Historia ya mahusiano ya Mfalme Charles na Malkia...www.jamiiforums.com
Amina amina msukuma Nafurahi kusikia kila kitu kipo sawa mkuu! Yeah nimepungua sana yale mamboo unayopenda yotree yameisha☺️😂!Thanks BL.
Everything is under God's control.
Vipi huko kwako?
Nimekuta unasifiwa eti umepungua sana japo sijaona kitu dah!
Stay blessed BL![]()
Ni picha ndo anasubiriNaona ameamua kuninyanyasa na yeye
Nimeona mahali michepuko inatiana moyo balaa....kwamba main aki-RIP nafasi kubwa ya kuchukua utawala inakuwepo. Dunia hii basi tu!Hii inatia moyo michepuko wote duniani kuwa wasikate tamaa IPO siku watafika tu![]()
Sijamuona. Muite tenaBosiledi mbona unazidi kuwa katoto?
Yale mambo hayaishagi BL hata ujikondeshe uwe kama Flaviana Matata. Yale mambo kama yapo yapo tu hata ufanyeje! Sana sana utaishia kuwa kiportable kamoja slim thick matata sana!Amina amina msukuma Nafurahi kusikia kila kitu kipo sawa mkuu! Yeah nimepungua sana yale mamboo unayopenda yotree yameisha!
Inasikitisha sana , japo kwa Camilla ilikuwa ni destiny yeye kuja kuwa malkia since Diana walilazimisha tu ndoa ili kutunza royal blood line .Nimeona mahali michepuko inatiana moyo balaa....kwamba main aki-RIP nafasi kubwa ya kuchukua utawala inakuwepo. Dunia hii basi tu!
Mama Mchungaji punguza kutesa watu maana kila mtu analalamika. Jitahidi uselfike ili maisha yaendelee...Ni picha ndo anasubiri
Tuone hata kiatu Sisy .



Boss wangu, hii ni burn umenipiga...Mjep kuanzia sasa hivi hamna kuomba 🤳🏽 bila muombaji kutupia!
Usijali mdogo angu; ngoja nipangue files hapaNi picha ndo anasubiri
Tuone hata kiatu Sisy .
Morning madamMorning mtu mzitoo hapa mjini 😅