Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
KomaSema kweli jirani?
KomaSema kweli jirani?
Hao ni wapenzi watazamaji usitishikeNimeona wame like
Usalama wangu ni mdogo
sio kwa nia mbaya mkuu 😂 wanaume tunakula kwa jasho na mimi ni mwanahrakatiUwe na adabu
Dadaake ni msabato
Halafu ni anaimba kwaya
Kanisani
Kwani si unachukuliwaga kama kipanga shaap nashtukia ushanihamaNaanzaje kuchukuliwa![]()
Wewe ni mtu wa mataifasio kwa nia mbaya mkuuwanaume tunakula kwa jasho na mimi ni mwanahrakati
mataifa kivipi....Wewe ni mtu wa mataifa
Baki huko huko
Na ni rembo haswaaa
Nani uliona amenichukia?🤔Kwani si unachukuliwaga kama kipanga shaap nashtukia ushanihama
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
umeona nini??😅mshamba_hachekwi ndo chimbo lako jipya hili
Embu tupia kwanza guu la bia nishushie huyu john mtembezi hapa 😋Usinifanyie hivyo jamani
Asante sanaWale wa #airtel#
Kazi kwenu
Ahahaah kwahiyo unataka kusemaje?Johnnie Walker ana pesa? Hahaaa
Hongera sana auntAsante sana
Ahahaha kwani unateseka 😂😂aha... itakua kama hii eti?? 😂 Johnnie Walker usitutishe na vi-iphone vyako😂
View attachment 2612142
Hata sijaweka itakuwa ishachukuliwa nimeshukuru Kwa niaba ya wajumbe wanaopita kimyakimya 😂😂😂Hongera sana aunt
Uselfike sasa
Thimu yangu ilikuwa chaji thatha ndio imejaaSasa mbona hupokei simu?