Mara nyingi lengo huwa siyo mwanamke kufanyia cha maana hela anazohongwa, suala ni mwanaume naye atoe ili aumie kusudi hata akianza kumtukana huyo mwanamke, kwamba oo sijui malaya tu hana jipya basi moyoni lazima aumie, kwamba hakula burebure bali kuna kitu alitoa, na ofcourse wengi mnaumia ndio maana mnalalamika kila siku