Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
😂😂Mie napenda makelele , wana bahati sishindi , ningekuwa nawasha kiradio hadi mwisho .
Ulifanikiwa kujaribu kushona?
Mimi nimeanza mdogo mdogo cha tatu hiki
😂😂Mie napenda makelele , wana bahati sishindi , ningekuwa nawasha kiradio hadi mwisho .
Ulikata kiuno?Mzuri sana , tumeimba juzi kanisani .. Yeah ndo raha ya sebene hiyo unacheza full kujiachia .
Kama nakuonaVibe kama lote.
Ila kusikilizaga nyumbani sebene naona halinogi.
Linikute kanisani sasa![]()
Cha tatu?
Ulifanikiwa kujaribu kushona?
Mimi nimeanza mdogo mdogo cha tatu hiki

Karibu kanisani kwetu rafiki , uone tunavyomchezea huyu Yesu . Hakika anastahili kuabudiwa na kupewa sifa . Vipi umeamkaje kaka WUlikata kiuno?
I wish nikuone
Unavyozungusha
Tetema
Kaka?Karibu kanisani kwetu rafiki , uone tunavyomchezea huyu Yesu . Hakika anastahili kuabudiwa na kupewa sifa . Vipi umeamkaje kaka W
Haya Wige , kucheza tumeona kwa biblia kuwa daudi alimchezea Mungu , refer 2 samweli 6:16 . Dancing is meant for God's glory . As way of worshiping and celebrating the body of Jesus christ . . If you got a desire in your heart , you can either sing , dance or any other form of art to show your talents or gifts .Kaka?
Ukoje wewe
Niite tu jina langu
Mimi ni kaka yako
Kuanzia lini?
Kumcha Bwana
Ni chanzo cha maarifa
Sasa kumchezea ndombolo
Ni chanzo cha Nini?
😀😀😀Ndio ndio mhenga mwenzangu
Shona kwa kurelax, hautaumia mikono.Sijaweza kujaribu toka ulivyoniambia si rahisi . Hicho kinavutia na hakija isha Saint Anne
Jirani mambo ..
EH una mkono wa haraka kweli , Na umevizoea Nitajaribu siku . Vipi umeamkaje ?Shona kwa kurelax, hautaumia mikono.
Ukishona haraka haraka ili umalize ni lazima mikono iume.
Cha juzi nimekipeleka haraka kikaisha..
hiki cha mwanzo nilianza last week j4,nikawa naenda .
Hiki nilichoanza usiku nataka nimalize leo leo.
Yani ukiwa na haraka gari kama halitembei , nimekaa mbele hapa nataka kupasuka . Nawaza foleni ya Mwenge .Shona kwa kurelax, hautaumia mikono.
Ukishona haraka haraka ili umalize ni lazima mikono iume.
Cha juzi nimekipeleka haraka kikaisha..
hiki cha mwanzo nilianza last week j4,nikawa naenda .
Hiki nilichoanza usiku nataka nimalize leo leo.
HamnaEH una mkono wa haraka kweli , Na umevizoea Nitajaribu siku . Vipi umeamkaje ?
Ndo inavyokuwagaYani ukiwa na haraka gari kama halitembei , nimekaa mbele hapa nataka kupasuka . Nawaza foleni ya Mwenge .
Ulikuwa unapiga dundo

Asee inakera , tumekuta bonge la foleni mbezi shule . Ila atleast tumevuka kiulaini .Ndo inavyokuwaga
Mimi njmjwa na haraka ndio unakuta gari inapita kujaza mafuta